Kabidhi Wasii Mkuu na Afisa Mtendaji Mkuu wa RITA Bw. Frank Kanyusi ameivunja Bodi ya Wadhamini ya Kanisa la Wadiventista Wasabato Tanzania kufuatia ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali CAG kubaini Bodi hiyo kushindwa kusimamia ipasavyo mali na majukumu yake na hivyo kutoa...
Mtu unakaa porini, unataka upewe hela nyingi ya nini??
Unataka ukawahonge Simba uwalombe???
Kama unaona mambo magumu achana na hiyo kazi.
KWANI UMELAZIMISHWA KUWA TANAPA??
Acha kiherehere we single maza
Kama wewe ni msindikizaji, mwanao atakuwa msindikizaji square.
Nani alikwambia usimpeleke mwanao shule nzuri.
Kulomba lomba unalomba na una watoto kila mtaa, kuwagharamia shule nzuri huwezi.
Uliwatafuta wa nini???
Pombavu
Acha kiherehere.
Mtoto akifeli malalamiko oooh tunatoa hela nyingi lakini shule ya hovyo.
Walimu wakiweka mikakati mizuri watoto wafaulu malalamiko.
Pumbavu zako.
Kama hutaki mwanao asome kaa naye nyumbani kwako muwe mnamsikiliza zuchu na diamond.
Masingle mazaz akili zenu mnazijua wenyewe.
Kiu wako after Ada.
Hayo mambo mengine hayawahusu.
Wahitimu mngejiorganize mwende na waandishi wa habari mkinukishe.
Siku hiyo hiyo mngepewa vyeti venu.
Shida ya watz ni uchawa na uoga kila sehemu
Ushoga ni mkakati ambao ulianza miaka kadhaa iliyopita.
Mkakati huo umetengenezwa kwa akili kubwa sana ambapo Mwafrika mla mihogo ni ngumu sana kuugundua.
Niwarejeshe kidogo enzi za akina Joti. Walipokuwa wakiigiza ushoga na watu wanashangilia sana.
Pili, mpango huu pia umesambazwa kupitia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.