Recent content by KISHINDO

  1. KISHINDO

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mke adai talaka na kugawana mali kwa kumzuia kutoenda msibani Hadi nitakapo rudi, nimemwambia chukua Kila kitu

    Kuna kitu hujaeleza na kinaacha maswali, that's why wengi wanakuona jau sana. Tafadhari. Malizia hicho ulichokiacha
  2. KISHINDO

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania mpenzi wangu anaficha mshahara wake! ushauri jamanii

    Wewe mtoa mada hii ulipaswa uolewe nyumba ntobhu
  3. KISHINDO

    JamiiForums Tanzania Msaada: Mke wangu ana tatizo la uzazi

    Always tabia ya mwanamke ni kutokusema ukweli
  4. KISHINDO

    JamiiForums Tanzania Wakristo wenzangu, kwahiyo pamoja na kuwa na elimu zetu Bado tunaamini Nabii Yona alimezwa na nyangumi na akatapikwa akiwa Yu hai?

    Dini ni project ya wazungu. Waswahili tumeishadadia bila kujua ndo maana kila siku tunazidi kudumaa kiakili
  5. KISHINDO

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Niende PhD au niendelee na mapambano

    Vipi umeshaanza kusoma hiyo PhD au bado
  6. KISHINDO

    JamiiForums Tanzania TANZIA Pumzika kwa amani Profesa Costa Ricky Mahalu!

    Pamoja na mabilioni yote alokuwa nayo lakini kafia Zahanati.
  7. KISHINDO

    JamiiForums Tanzania Hii hapa Television ya kumiliki kulingana na kipato chako

    Bei elekezi ikoje kwa TV Nchi 65 Samsung, TCL, Hisense au LG
  8. KISHINDO

    JamiiForums Tanzania TO wa mwaka 2006 kidato Cha sita anatrend mitandaoni baada kufariki 2020

    Nasikia pamoja na majigambo yake yote lakini hayakutanabali kwa mtambo HIV.
  9. KISHINDO

    JamiiForums Tanzania Kabidhi Wasii Mkuu aivunja Bodi ya Udhamini ya Kanisa la Waadventista Wasabato Tanzania

    Kabidhi Wasii Mkuu na Afisa Mtendaji Mkuu wa RITA Bw. Frank Kanyusi ameivunja Bodi ya Wadhamini ya Kanisa la Wadiventista Wasabato Tanzania kufuatia ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali CAG kubaini Bodi hiyo kushindwa kusimamia ipasavyo mali na majukumu yake na hivyo kutoa...
  10. KISHINDO

    JamiiForums Tanzania TANZIA Munde Tambwe, aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalum (CCM) afariki dunia

    Stress za kukosa ubunge wa jimbo la Sikonge maana kama ni pesa alizigawa za kutosha then chama kikamtosa.
  11. KISHINDO

    JamiiForums Tanzania KERO Watumishi ngazi ya chini TANAPA tuna hali ngumu; kipato hakitoshi!

    Mtu unakaa porini, unataka upewe hela nyingi ya nini?? Unataka ukawahonge Simba uwalombe??? Kama unaona mambo magumu achana na hiyo kazi. KWANI UMELAZIMISHWA KUWA TANAPA?? Acha kiherehere we single maza
  12. KISHINDO

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Waziri wa Elimu liangalie hili, vinginevyo watoto waliosoma shule za kata watabaki kuwa wasindikizaji

    Kama wewe ni msindikizaji, mwanao atakuwa msindikizaji square. Nani alikwambia usimpeleke mwanao shule nzuri. Kulomba lomba unalomba na una watoto kila mtaa, kuwagharamia shule nzuri huwezi. Uliwatafuta wa nini??? Pombavu
  13. KISHINDO

    JamiiForums Tanzania KERO Waziri Wizara ya Elimu, Ustawi wa Jamii, Wizara ya Maendeleo Wanawake na Watoto, Katibu Mkuu, Necta, Nacte, Tie. OKOENI HAWA WATOTO TUTAWAPOTEZA

    Acha kiherehere. Mtoto akifeli malalamiko oooh tunatoa hela nyingi lakini shule ya hovyo. Walimu wakiweka mikakati mizuri watoto wafaulu malalamiko. Pumbavu zako. Kama hutaki mwanao asome kaa naye nyumbani kwako muwe mnamsikiliza zuchu na diamond. Masingle mazaz akili zenu mnazijua wenyewe.
  14. KISHINDO

    JamiiForums Tanzania KERO Wahitimu wa Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Kampala (KIUT) 2025 hatujapewa vyeti mpaka leo

    Kiu wako after Ada. Hayo mambo mengine hayawahusu. Wahitimu mngejiorganize mwende na waandishi wa habari mkinukishe. Siku hiyo hiyo mngepewa vyeti venu. Shida ya watz ni uchawa na uoga kila sehemu
Back
Top Bottom