Kampala International University wana Campus 3
1. KIU Main Campus Ggaba road Uganda
2. KIU Western Campus Uganda pamoja na
3. KIU Tanzania
Mimi naifahamu vizuri Main Campus maana ndipo ninaposoma kwa sasa.
In short kwa Nchi ya Uganda (na kwa ranking za miaka ya 2021, 2022 na 2023 KIU ndo...
Kwa hiyo Kila aliyepata kazi mara ya kwanza...
Kila anayeuguliwa...
Kila aliyepata madhila ya kifamilia...
Akafanye huo uhuni?
Laki 2 kwa DAS ni tone la maji Baharini.
Unaelewa mshahara wa DAS ni Shingapi?
Unaelewa OC ya Ofisi anayopata DAS ni Shingapi kwa Mwezi?
Unaelewa posho za vikao...
Hakuna cha Umeme wala nini....
Kigwangala kashausoma upepo kwamba mwakani harudi Bungeni hivyo anatafuta attention toka kwa watu ili imsaidie japo kashachelewa.
Nakumbuka ulimtukana sana Hayati Magufuli ambaye hakuwa na uwezo wa kujitetea, Magufuli ambaye alikupatia ulaji Maliasili na Utalii...
Nakumbuka aliwahi kusema haya yafuatayo:-
1. Kabla hajafa lazima awe Rais wa nchi hii
2. Aliahidi kutuletea mvua ya kutengeneza toka Thailand baada ya kufanya ziara huko.
Kumbe kuna wakati pesa hazina msaada wowote kwa Mwanadamu......
Hivi kweli Lowassa ni wa kufia Muhimbili????
Nakumbuka aliwahi kusema "sitakufa kabla sijawa Rais wa Tanzania" mwisho wa kunukuu!
Ni akili tu za Kipumbavu za Miafrika inayotaka kuvuna pasipo kupanda.
Nenda hapo Doha au Dubai uone Waarabu walivyo serious kubadili jangwa kuwa makimbilio.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.