Pole sana ndugu najuwa una pitia kipindi kigum sana usiache kumwomba Mungu sana kwani yeye ndie mfariji wa kweli, yote yatapita tuuu na utayasahau kipindi c kirefu
Mkuu ulitumia njia gani kuiacha? Maana mwenzio nime shindwa kabisa yani bila kula kimoja sijielewi kabisa yani nahic kama akili hazi fanyi kazi sawa ila niki pigatu mambo freshi
Wamakonde wanajifunza elimu ya dini wana acha elimu dunia unategemea nini usizaraulike? Mimi nafikiri kuna haja ya mashehe kwenda shule maana mambo wanayowafundisha waumini sio mazuri, kuna shehe moja alikuwa anasema mkristo kumchumbia mwislam ni haramu kabisa wewe unasemaje kuhusu hilo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.