eebwana ee mm nakubali mia kwa mia ni kweli kabisa. me nadhani kwetu maeneo ya chalinze msoga mboga msata hayo yamezidi. yote ni kutojipanga kimaisha unajikuta kila mda unategemea kwa ndugu na ikitokea amekosa msaad kwako basi waganga watahusika
shukran.naitaji kujua au kufahamishwa katika haya mataatizo.1mtoto wangu amekuwa akikuwa akiwa na uzito mkubwa, kipindi akiwa na mwaka mmoja alikuwa na kilo 15, sasa hivi anakilo kumi na 7 na ana umri wa mwaka 1 na miezi 5. vyakula anvyokula ni ugali kwa maharage,mboga za majani.viazi na uji wa...
nashukuru.ila huyu mtoto wangu ni mkorofi anaponyimwa ziwa na mama yake hulia sana na kwa sasa humpiga hata mama ake wakati anapodai kula au kunyonya
asante ndugu ndugu mshana jr' ,mara nyingi hula ugali maharage na mboga za majani.
wakuu wa humu ndani naomba msaada.naina mtoto wa mwaka na miezi mitano,ila ana kilo nyingi sana kilo 17.je ni sahihi na kama si sahihi nimfanyeje apungue.ankula vyakula vya kawaida tu na kunyonya kwa sana.kliniki mama yake anampeleka ila wanamwambia atapungua akikua. kwa mwenye taaluma anisaidie
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.