kisemvule8080
Member
- Dec 23, 2016
- 18
- 12
naitaji tutete kidogo bro mshana ila najikuta nimesahau kuku private. help me nw
naitaji tutete kidogo bro mshana ila najikuta nimesahau kuku private. help me nw
Ilikuwa na miezi mingapi? Alikuwa anafanya kazi ngumu? Vipimo vinasemaje? Alikuwa na shinikizo la damu? Alikuwa na dalili za kichaa CHA mimba?Mimba ya kwanza ya mke wangu ilitoka na sasa ana wiki mbili kasafishwa.
Na sijui tatizo ni lipi liliopelekea hadi mimba kitoka.
Ilikuwa na miezi mingapi? Alikuwa anafanya kazi ngumu? Vipimo vinasemaje? Alikuwa na shinikizo la damu? Alikuwa na dalili za kichaa CHA mimba?
Mmh mimba kutoka na miezi miwili sio kitu cha kawaida sana kwakuwa kwa umri huo hata mtoto haujaumbika vizuri..... Nakushauri kafanye vipimo vya uhakikaMiez miwili, kazi aliyokuwa anafanya ni kufua labda na kupiga deki ndani, vipimo group la damu ni A, hama maambukizi yeyote, ana pressure kiasi, dalili za kichaa cha mimba sijui.
Mkuu hapa kama unanikanganya kliniki za Dar wanawasha mafeni na kuvua nguo watoto na vyumba vya kulaza watoto AC ziko below 20 degree C ukipandisha ugomvi na manesi!wanasema cha muhimu feni na chumba kiwe safi kusiwe na vumbi muwashie mtoto feniKwakweli ikibidi usiwashe kabisa hata kwa mtu mzima....na kama ukiwasha iwe low kabisa
Haya mambo yanachanganya ila kwa uzoefu wangu sio nzuri kabisa labda iwekwe mbaliMkuu hapa kama unanikanganya kliniki za Dar wanawasha mafeni na kuvua nguo watoto na vyumba vya kulaza watoto AC ziko below 20 degree C ukipandisha ugomvi na manesi!wanasema cha muhimu feni na chumba kiwe safi kusiwe na vumbi muwashie mtoto feni
Wewe mshana yani mtoto akae na govi hadi 15yrs? Huoni kama wenzie watakua wanamcheka shuleni?10-15
Kusafishwa tunapenda Sana ila kama I'm back imetoka na hakuna tatizo tuache tumbo la uzazi lijisafishe lenyewe jamaniMimba ya kwanza ya mke wangu ilitoka na sasa ana wiki mbili kasafishwa.
Na sijui tatizo ni lipi liliopelekea hadi mimba kitoka.
Kusafishwa tunapenda Sana ila kama I'm back imetoka na hakuna tatizo tuache tumbo la uzazi lijisafishe lenyewe jamaniMimba ya kwanza ya mke wangu ilitoka na sasa ana wiki mbili kasafishwa.
Na sijui tatizo ni lipi liliopelekea hadi mimba kitoka.
Wengi wetu humu tunalea ama watoto wetu ama watoto wa ndugu jamaa na marafiki.
Tumekuwa na mada maalum nyingi za mambo tofauti kama urembo magari simu n.k. lakini hatujawahi kuwa na mada hii maalum ya watoto.
Kumlea mtoto tangu kutungwa kwa mimba mpaka kuzaliwa na hatimaye kulelewa mpaka kuvuka kile kipindi cha hatari si jambo dogo.
Changamoto ni nyingi hasa na zingine hatujui jinsi ya kuzitatua lakini tukiwa na hii mada hapa jukwaani tutashirikishana na kujuzana mengi kwa haraka na uhakika zaidi.
Kuna vitu vidogo vidogo ambavyo havihitaji daktari au ufumbuzi wake ni kama huduma ya kwanza kabla hujapata usaidizi mwingine. HII NI TOFAUTI NA JF DOCTOR.
Kwa mfano, ufanyeje;
-Mtoto anapolialia
-Mtoto anapopata gesi tumboni
-Mtoto anapopaliwa kila akila chochote
-Mtoto anaposhtuka shtuka usiku na kulia sana nk k
Hatari zimnyemeleazo mtoto;
-Umeme
-Maji
-Moto
-Mwanga wa Tv
-Simu, mawimbi yake
-Vyombo na vitu mbalimbali
-Madawa na vipodozi nk nk
Hii ni mada pana yenye mambo mengi mno.
Kwa mfano kitunguu saumu ni tiba kwa mtoto anayelia na kushtuka usiku, Kijiko cha asali ni tiba kwa mtoto anayekohoa mfululizo (ukiacha kifua na mafua), Vitu kama mahirizi ya kiunoni na mkononi havimsaidii mtoto, Muda mwingi kumvalisha mtoto nguo nyingi humsababishia nimonia n.k.
Mambo ni mengi...
IKIWAPENDEZA ITAKUWA NI MADA MAALUMU YA WATOTO..
Mlee mtoto katika njia impasayo naye hataiacha..!
Naomba nishauri kama ifuatavyo japo naweza kupingana na serikali...Asanteni kwa kuleta uzi huu,,naomba kuelimishwa kuhusu uzazi wa mpango,,kuna mdogo wangu kaweka vijiti vile vya kwenye mkono vya miaka mitatu,,ana mwaka mmoja na nusu haendi mwezin,anatakiwa atoe mwakani mwez wa 4 lakini kuanzia mwez uliopita amekua akisumbuliwa na UTI zisizoisha na amekua mchovu sana,je kijiti chaweza kuwa sababu na kutokuingia MP kwa muda wote huo ni tatizo?japo aliwahi kurud alikowekewa kijiti wakamwambia haina athari,,je akitoa kijiti lazima asafishwe,,msaada wenu tafadhali wenye uelewa hapo,,asanteni