.Ndg yangu mm nilioa mke.wa kimakomde nimekaa naye miaka 14 tukafanikiwa kupata watpto watatu lkn ilitokea kugombana tu mke wangu huyo aliamriwa aondoke na watoto wote hadi sasa na wameshachezwa mila za huko. Pia huwa siyo watu wa kudumu katika ndoa.
Pole sana dada mm ni mtu mzima ushaur wangu soma maandiko matakatifu ya mungu kuhusu mume na mke ktk ndoa. Google BIBLIA INASEMA NINI KUHUSU MME AU MKE KUFANYA UASHERATI. utapata jibu sahihi na maamuzi utafanya. Pole
Ndg usijaribu na wala usifanye kosa kama hilo la kumsogeza karibu utakuja kujuta. Kwanza ataanzisha mgogoro na familia yako then ww mwenyewe usithubutu. Chukua mwanao achana na huyo malaya kwa nini ujipe .mzigo usiokuwa na faida. Usithuburu usithubutu usithubutu
Mbona nimewafafanulia kuanzia no 1 -13 polisi Non commissioner. Ni RCO na IGP ndo huwa wanapewa huo commissianer baada ya kuteuliwa. Salute ni utaratibu tu wa salama je vyeo vya uhamia mbona wanapigiana salute
13. Valantia ni Jku kama ilivyo Jkt kwa bara hao ni wa kujitolea tu baada ya miaka miwili hurud nyumbank kama hakupata bahati ya kuajiriwa Magerez.,polisi Tiss au kmkm
Katibu mkuu wizara ya ulinzi siyo mkuu kwa mkuu wa majeshi heshima anayopewa ni kwa niaba ya rais. Mfano mkuu wa majeshi akienda kwa mkuu wa mkoa/wilaya atapiga salute kwa ajili ya picha ya rais iliyopo ofisini kiufupi ni kwamba wateule wote wa rais hupigiwa salute na majeshi bila kujali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.