Nilichoambiwa nyumbani baada ya kumtambulisha mchumba wangu

Nafurahi kusikia hivyo, karibu sana jamvini, tulikumiss. Msalimie sana Bwan' Chuchu.
Hahhahahahahahaha. Salam zimefika. Sijui nimsalimie wakati naprove utamu aliosifiwa sehem flani. Lol
 
  • Thanks
Reactions: BAK
nikweli kabila za kusini mtwara
mwanammke ndo mwenye watoto.. pia mume akienda kuoa mahala anahamia huko
yani dizaini kama anaolewa.
hio ni asili yao haiwezi kupotea.
japo kwa sasa imepungua hasa kwa tunaokaa mijini (wamakonde,wamakua,wayao,wamwera)

kwa mfano mimi mama angu mmakua baba mtu wa musoma
sisi ni watoto wa baba
japo tunaishi mjini na tumelelewa mazingira ya kimakua sana ...
kama vile tumechezwa, tuna ukaribu sna na ndugu wa mama kuliko baba..

ila mwisho wa siku ni makubaliano yako na huyo dada..
kuhusu kuchukua watt kulelewa na bibi zao wamakonde wanapenda sana watto
kwahiyo ukionyesha huna mapenzi wanamchukua mtoto wanakaa nae...
Sio kwl m mwenyw mmakonde tena wa newala karbu na msumbiji
Hayo mambo hakuna ila kilichokuwepo ni mila potofu tu
Kama mnavyoamini pia kuwa mmakonde anakula watu
Hata cc huku tunaamini kuna makabila yanakula mbwa ya huko kaskazi

Kama vp muulizeni mkwichika(mb) wa newala mjini maana ni mmakonde pure
 
Habari za saa hii wadau,

Hope mko poa na mishe zinasonga hata kama ni kiubishi...

Ni hivi;

Moja kati ya siku chache zilizopita niliamua kumpeleka mchumba wangu kwetu.Mimi najitegemea na ninaishi mbali kidogo na familia yetu kutokana na kazi.Baada ya kufika nae tulikaa pale tukapiga stori mbili tatu mpaka mida ya usiku then tukaenda kulala,kifupi tulikaa pale kwa muda wa siku kama tatu then tukarudi kwenye makazi yetu mi na mwenzangu.

Huyu binti (naomba nimtaje kabila kwa maana ndo msingi wa thread hii) kachanganya kabila, baba ni mtu wa Singida (Mnyiramba) na mama ni wa kusini (Mmakonde).Sasa kilichotokea baada ya kurudi huku nakoishi kesho yake nilipigiwa simu na shangazi yangu nakuniambia haya yafuatayo:-

Binti ni mzuri tumempenda ni mpole na ana sifa nyingi nzuri, ila tatizo kabila lake. Wao (wamakonde) udamaduni wao ni kwamba watoto wote ni wa upande wa mama, hivyo mkipata mtoto tu akishaanza kutembea anakuja kuchukuliwa na bibi yake (mzaa mama) anaenda kulelewa huko we mume huna chako tena.
Vilevile mjomba mtu (kaka wa mwanake utakayemuoa) ndo anakuwa na amri juu ya huyo mtoto kuliko wewe baba yake.

Nikamuuliza shangazi kwanini inakuwa hivyo?
Akanijibu hivi:-
Kwasababu wanaamini mwanaume anaweza kusingiziwa mtoto na mkewe akaambiwa wake kumbe sio. Hivyo kwasababu mtoto wao ni wa kike wanaamini kile alichojifungua ni halali yake kwasababu kimetoka kwenye tumbo lake kabisa kwahiyo yeye ndo mwenye mtoto.

Hivyo kazi kwako baba sisi tunakushauri tafuta binti mwingine au laa!Ukitaka mwenyewe oa ila usije ukarusha ngumi kwa shemeji zako huko mbeleni.Nikachoka!Mpaka sasa nimejaribu kutafuta ukweli wa hili ila bado sijapata majibu ya kuridhisha. Ningependa mwenye kuelewa hili swala hebu anifahamishe je ni kweli wamakonde watoto wote huwa upande wa mama?Na kwanini? Huenda nikapata kitu tofauti hapa.

Natunguliza shukrani karibuni kwa uchangiaji.

Kaka huyo shangazi yako ana mtoto wa kike?? hebu muulize shangazi je baba wa huyo binamu wako ni tofauti na baba yake anaye mjua?? Muda mwingine haya mambo nikama historia tu, na ukiona hivyo kaka hao jamaa watakutesa sana katika kupata mke, kila utakaeleta hapo utaambiwa mara huyu kwao wanakula nyani, mara huyu meno yake kama amepaka mavi ya kuku. baaasi ili mradi shaghala baghala tuuuuu.

Kama kuna binamu gonga mimba shangazio atie akili alafu mwambie mtoto sio wangu nimesingiziwa tu.
 
Mimi kila siku haya mambo napigia kelele. Hivi mwanaume unaanzaje kumuogopa mwanamke kisa kabila lake? Jiamini mwanaume. Huwezi kukuta wanaume wa haya makabila wanaogopa mwanamke: wameru(kwetu), wahaya, wajaluo, wakinga, wakurya, wahehe, wachaga, wanyakyusa, wajita, wamasai n.k, kwa sababu wanaume wa hayo makabila wanajiamini.

Ashakum si matusi, na wasiwasi wewe utakua unatoka makabila wanaume wake zembe na jinga kuogopa mwanamke.

ongeza na wadigo bwana, weweeeeeeeeeee sisi ukizingua mapema tunavuta mwingine, hakuna sijui mtoto sio wangu unapewa mtoto na mwingine tumboni, hatuna ugomvi wa kuata watoto wakikua watatafuta baba zao wenyewe.
 
.Ndg yangu mm nilioa mke.wa kimakomde nimekaa naye miaka 14 tukafanikiwa kupata watpto watatu lkn ilitokea kugombana tu mke wangu huyo aliamriwa aondoke na watoto wote hadi sasa na wameshachezwa mila za huko. Pia huwa siyo watu wa kudumu katika ndoa.
 
Hahahahaha lol! Huwa nacheka sana kutokana na maongezi yenu. Kila la heri katika kutaste utamu usichonge mzinga tu lol!

Hahhahahahahahaha. Salam zimefika. Sijui nimsalimie wakati naprove utamu aliosifiwa sehem flani. Lol
 
Binti hana shida kusema ukweli namuona katulia, labda kama anaficha makucha. ila nimejaribu kumuulizia akasema haiko hivyo. Ukizingatia ye mwenyewe kalelewa na baba, mama aliondoka akiwa bado yupo shule ya msingi hivyo baba yake akaoa mke mwingine kutoka Tanga hivyo amelelewa sana na mama huyu wa kitanga.
Nafikiri hii ndo ingekuwa sababu ya kwenda kuwaambia ndugu zako. Mama mmakonde, ila aliondoka na amelelewa na mama wa kabila lingine... possibly hata huko umakondeni hajafika let alone kufuata mila zao. Ongea na ndugu zako, waelimishe kuhusu hilo
 
Habari za saa hii wadau,

Hope mko poa na mishe zinasonga hata kama ni kiubishi...

Ni hivi;

Moja kati ya siku chache zilizopita niliamua kumpeleka mchumba wangu kwetu.Mimi najitegemea na ninaishi mbali kidogo na familia yetu kutokana na kazi.Baada ya kufika nae tulikaa pale tukapiga stori mbili tatu mpaka mida ya usiku then tukaenda kulala,kifupi tulikaa pale kwa muda wa siku kama tatu then tukarudi kwenye makazi yetu mi na mwenzangu.

Huyu binti (naomba nimtaje kabila kwa maana ndo msingi wa thread hii) kachanganya kabila, baba ni mtu wa Singida (Mnyiramba) na mama ni wa kusini (Mmakonde).Sasa kilichotokea baada ya kurudi huku nakoishi kesho yake nilipigiwa simu na shangazi yangu nakuniambia haya yafuatayo:-

Binti ni mzuri tumempenda ni mpole na ana sifa nyingi nzuri, ila tatizo kabila lake. Wao (wamakonde) udamaduni wao ni kwamba watoto wote ni wa upande wa mama, hivyo mkipata mtoto tu akishaanza kutembea anakuja kuchukuliwa na bibi yake (mzaa mama) anaenda kulelewa huko we mume huna chako tena.
Vilevile mjomba mtu (kaka wa mwanake utakayemuoa) ndo anakuwa na amri juu ya huyo mtoto kuliko wewe baba yake.

Nikamuuliza shangazi kwanini inakuwa hivyo?
Akanijibu hivi:-
Kwasababu wanaamini mwanaume anaweza kusingiziwa mtoto na mkewe akaambiwa wake kumbe sio. Hivyo kwasababu mtoto wao ni wa kike wanaamini kile alichojifungua ni halali yake kwasababu kimetoka kwenye tumbo lake kabisa kwahiyo yeye ndo mwenye mtoto.

Hivyo kazi kwako baba sisi tunakushauri tafuta binti mwingine au laa!Ukitaka mwenyewe oa ila usije ukarusha ngumi kwa shemeji zako huko mbeleni.Nikachoka!Mpaka sasa nimejaribu kutafuta ukweli wa hili ila bado sijapata majibu ya kuridhisha. Ningependa mwenye kuelewa hili swala hebu anifahamishe je ni kweli wamakonde watoto wote huwa upande wa mama?Na kwanini? Huenda nikapata kitu tofauti hapa.

Natunguliza shukrani karibuni kwa uchangiaji.
Huu utaratibu haupo dunia yoyote na haukubaliki,lakini akiolewa kabila lingine inamlazimu afate taratibu alizozikuta
 
.... siku hizi mambo yamebadilika sana, muingiliano wa makabila umesababisha kubadilisha mambo mengi, wengi tunazaliwa kimjini tunakua kimjini mjini hizo asili na mambo za makabila hatuzijui tena wamebaki wachache sana wanaofata hayo mambo tena utakuta ni watu wazima kina shangazi, mchumba wako nae usikute hata hajui hizo mambo sasa atakujaje kumiliki watoto wakati hajui kama iko hivi? Muangalie yeye kama yeye ana sifa za mke unaemuhitaji? Unaweza kuishi nae hii yatosha
Habari za kusema watu wasingida sijui wapo vipi, i wanaocheat ndoa zao wote ni wa singida??? Wamakonde wengi tu tunawafahamu mbona hawana hizo
Ushauri wa ndugu zingatia ila pia wewe kama wewe fanya maamuzi
Shukrani sana dada Evelyn, umenidadavulia haswa.
Ni kweli huyu binti hizo mambo ye mwenyewe nilimuuliza akaanza kushangaa....ni kama unavyosema mambo haya yamebaki kwa wale wa ndani kabisaa, ila hawa wa mjini hawayajui labda waje wakalishwe vikao na bibi zao.
Ngoja nichukue za mbayuwayu niongeze na zangu.
 
Kama amekulia mjini hayo mambo hamna lakin kama ana chembe ya ushagoo mckilize shangazi hakutanii huyo ni kweli kaamua kukutoa tongotongo.
 
Back
Top Bottom