Wazungu ni wanafiki kweli Madhara waliyosababisha Iraq, Libya,Syria ni madogo kuliko sisi kujenga mradi wa umeme. Hawa watu hawajawahi kutupenda na Hawatatupenda hizi kelele kuna kitu nyuma ya panzia sio kutetea Mazingira
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mzee wa Mwanza aliwahi kuhojiwa na Star Tv alisema motoni Baada ya shetani anafuata mwanasiasa. Mpaka leo sjawah kumpinga
Sent using Jamii Forums mobile app
Kazi ya kamati ya kutunuku woooote ni wakatoliki.Allah Amrehem sheikhe ilunga.Enzi za ndalikacho wamiliki wa shule za kiislam waliomba Necta sample ya paper walizosahisha necta wakagoma baadae wakatoa matokeo mengine mtu mwenye four akawa na one kuwauliza imekuaje wakasema mtambo wa computer...
We vipi mbona wapo walimu waliohotimu huu mwaka wa tatu hawana Ajira wapo Madaktari hawana Ajira wapo Engineer hawana Ajira kama nafas zao zpo kwanin wasiajiriwe tatizo ni nin. Huu ni moto utakuja kuripuka siku moja
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.