Ndiyo, accrual basis INA miiko yake. Disclosure ni kitu muhimu sana kwenye mfumo huu, haiingia akili kuwa taarifa ya CAG ilisahau hayo yanayosemekana sasa. The basic principal ya accounting ni double entry, ukianza kuingiza kitu chochote kwenye hesabu ambazo tayari zimeandaliwa lazima balancing...
Hakuna majibu sahihi kutoka kwa Polepole, under accrual basis ukizungumzia Receivables pekee unakosea, kuna deffered, funds transfers na payables pamoja na nadharia nyingine za IPSAS kwahiyo kubalansisha kwa Polepole ni uelewa wake mwenyewe.
Wahasibu uchwara acheni kutuchang'anya katika uhasibu tunapotumia "accrual base" haturudi nyuma kutoka "Receivables" ambayo ni mapato taraji kama tusivyorudisha "payables" ambayo ni matumizi taraji. Yote hayo tayari ni mapato na matumizi tayari. Jambo ili linaweza kuzungumziwa na wahasibu tu...
Kila jambo na wakati wake sasa ni wakati wa bajeti na baadaye tulete biashara ya kutelekeza watoto. Mwaka jana kipindi kama hiki ilichangànywa biashara ya madawa ya kulevya, masuala muhimu yakapitishwa haraka haraka. Hii ni kwa faida ya nani?. Huyu mkuu wetu wa mkoa ni intelijensia?
Huyo anayeitwa beki 3 ni binadamu kama wewe mama mwenye nyumba, anapenda na kupendwa. Matendo ya akina mama baada ya kuwepo huyo so called beki 3 yanakuwa kama amepata msaidie kwa majukumu yake ya msingi(mke). Beki 3 akifanya vizuri ndipo watu wa nje wanajua, akifanya vibaya hatuoni matangazo...
Kama viongozi wanatoka kwa wanajumuiya kuna ubaya gani kuwachunguza na kubaini walio bora kuliko kuchagua kwa ushabiki. Ni tamko madhubuti na lenye mtazamo mpana zaidi kuona kama kuna ubaguzi wa kidini.
Sijui nyie vijana mnataka kutupeleka wapi, kila jambo kwenu limekuwa rahisi sana?. Sijui una umri wa miaka mingapi na unategemea kuishi mingapi?. Imani za dini kimekuwa ni kitu cha kawàida kwenu. Una mbele wala nyuma unahoji uhuru wa watu kwenye jumuiya ndogondogo ambazo kama ujui ndiyo muhimili...
Katika historia ya nchi yetu tangu tupate Uhuru hatukuwahi kushuhudia kipindi mgawanyiko na mkang'anyiko kama wakati huu tunaopitia. Mimi nilizaliwa wakati wa Uhuru wa Tanganyika, hivyo madhra ya kabla ya Uhuru nimeyasoma kwenye historia tu.
Baada ya hapo nchi yetu ilipita kwenye vipindi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.