vifurushi vya bei ya kitonga vipoooooooo kwa vodacom airtel na Halotel Tigo bado kuna namna inasubiliwa
vodacom hvo [emoji115][emoji115][emoji3595] ubaya kuna mtu alichoma twitter vodacom wamezuia kwahyo wenye navo tayar tunavo ila kesho j3 wamesema wata angalia possibility kama upenyo...
Nilcho jifunza huduma kwa wateja ya vodacom wabaguzi mim na lain mbili zote za vodacom moja natumia kwenye calls data na sms(Heavy user) na nyingne natumia kwenye whatsapp namba ya vodacom nayo tumia kwenye whatsapp mara nying hua ipo kwenye sim ndogo situmii sana hiyo namba hata nipige 100 hua...
Nilcho jifunza huduma kwa wateja ya vodacom wabaguzi mim na lain mbili zote za vodacom moja natumia kwenye calls data na sms(Heavy user) na nyingne natumia kwenye whatsapp namba ya vodacom nayo tumia kwenye whatsapp mara nying hua ipo kwenye sim ndogo situmii sana hiyo namba hata nipige 100 hua...
Haiwezekan labda ufungue paypal kenya utaweza ku link na mpesa ya kenya na hizo lain za kenya zinafanya kaz had bongo na unatoa hela vzr tu au unaweza ukajtumia kwa mpesa yako ya tz na ukatoa
Vodacom usipo tumia lain mda mrefu wanakua wanakupa 500MB had 1GB haizid hapo yan usitumie lain mda mrefu kisa hzo MB ah hailet maana na ukianza kutumia hiyo offer inapotea
Ushishangae ni kawaida hiyo kitu inaitwa Roaming nianze kwa kueleza Roaming kwa urahisi
Roaming ni kile kitendo cha kutoka kwenye eneo lenye covarge ya network yako(Mfano unatoka eneo lenye network ya vodacom ) na kwenda eneo ambalo halina coverage ya network yako lakin huko ambako hakuna...
Mh kwangu cha 10k kilikuwa kinakaa hadi mwezi mzima ila nilikuwa napunguziwa speed nitajaribu pengine wamebadilisha sijakitumia mda hapa napo kaa kuna Fiber speed 10MB/s sawa ya 80Mbps ngoja siku nta test ntakupa majb
Inabid ukubal ukwel unao uma hupati muhas kwa div 1 yako ya 9 especially MD Radiology na Pharmacy wale cut point hawafat kama ilvo wekwa na TCU ukiwa na div 1 ya 6 kushuka chin at least ila kwa ufaulu wako kama unajipenda apply private unapata chap kwa hiyo div 1 ya 9 hata udom MD hupati...
Tigo hawana unlimited ukitaka unlimited labda waje wakufungie ki dish flan hivi ila ni gharama sana na mara nyingi huwa naona vipo kwenye taasisi mfano hospitali wanalipa 900,000/= na unlimited kwel nikaona na zantel wanalipa 600,000/= ni unlimited kwel
Unlimited ipo vodacom kuna kitu wanaitwa...
Kwa hali hiyo bora tuendelee na pre paid tu au tusubiri TTCL fiber 55K unlimited mwezi mzima kwa speed ya 2MB/s had 2.5MB/s ambayo ni sawa na kusema 20Mbps at least inaeleweka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.