Recent content by kiriamfuru

  1. K

    Rais Magufuli: Baadhi ya Mawaziri katika Serikali yangu ni Wapumbavu

    Tuendelee kutafakari coz yeye ndo aliwateua....
  2. K

    Nina mimba ya msafisha kucha... Mmh!

    Hatari Sana hii... Wanawake kuweni serious
  3. K

    Bongo Movies kumshitaki DJ Mark (Anayetafsiri movies za nje)

    Picha za wauza sura na mapaja nimezipiga marufuku nyumbani kwangu... Spendi ujinga kabisa... Wakajipange upya!!!! BURIANI KANUMBA...!!!
  4. K

    Baadhi ya wasanii wa Bongo Movie Waandamana kutoka ofisi ya Mkuu wa Mkoa Dar Makonda

    Akili za kipuuzi... Kwa hyo na wauza vilainishi wa Ndani waandamane kupinga waagizaji wa nje... Kweli nimeamini FaFa zote.... Kama hao bongo movie mnataka kuwasaidia wapeni Elim ya kukabili changamoto za kibiashara na sio kulialia... Acha nirudie kuangalia series yangu ya Nikita...
  5. K

    Uchambuzi Wa Habari: Askari Wetu 8 Kuuawa...

    Nakumbuka kabla ya October mosi mwaka Jana askari polisi na Jeshi walifanya kazi hadharani.. Hata mazoezi yake mengine yaliyosiri Kwa raia... Yalikuwa na maana gani??? Kumbe UKUTA wa CDM ulikuwa na nguvu kuliko ujambazi.... Ina maana polisi Ina uwezo wa kupambana na raia wasiokuwa na silaha...
  6. K

    Wasanii wa mama ongea na mwanao: Wema Sepetu alisema uongo, yeye ndio alilipa timu pesa

    Ina maana hata Shigongo aliongopa!!?? Yaani aliyefanya kazi kubwa hakulipwa wasanii tuu nyie ndo mlipwe... Hivi kada kama Shigongo hakulipwa et BATULI kalipwa... Hahahahah.. Acheni usaniii
  7. K

    Kinjekitile Ngombale Mwiru: Haiingii akilini kila mwenye tuhuma na kashfa akimbilie upinzani

    Wanakimbilia upinzani kupata utakaso... Huwezi Sema umeacha wizi wakati kutwa kucha upo Katika genge la wezi...!!!!
  8. K

    Ushauri kwa Mange Kimambi

    Hahahah... Daudi kashikwa pabaya...
  9. K

    Rais Magufuli: I wish I could be IGP; Ni kuhusu wale wanakwaya pale central

    Mmh, Kazi ipoo Sent from my TECNO-J7 using JamiiForums mobile app
  10. K

    Rais Magufuli awashangaa Kagera: UKIMWI nyie, tetemeko nyie, mna mto unaitwa Ngono na Kijiji cha Katerero

    Magu is another disaster... Lord have Mercy on Kagera people....
  11. K

    Magufuli atengua uteuzi wa Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO, F. Mramba. Amteua Dkt. Mwinuka kukaimu

    Sielewi hadi lini.... Ama ndo Maandalizi ya ujio wa viwanda....!!!!??
  12. K

    Lema hayupo kizuizini kwa kosa la ndoto

    Sisi sote ni wa Mungu na kwake tutarejea... Cheo ni dhamana tuu... Hitler aliongoza watu Kwa nguvu na Jeuri kubwa Sana... Aliuwa binadamu wenzake Kwa mateso makubwa Sana.... Leo yuko wapi.... Nauliza Leo yuko wapi... General Abacha yuko wapi.... Na wengine wengi.. .. Tunapita tuu... Kuwa...
Back
Top Bottom