Recent content by kiria2000

  1. kiria2000

    Albert Msando afunguka kuhusu Zitto Kabwe

    Kwani chadema nimamayake hadi aikumbuke?
  2. kiria2000

    Zitto amefeli Leadership Qualities

    Chadema niliikubali sana lakini kwasasa naona wamejipiga bao wenyewe,wanajali maslah binafsi kuliko ushauri wawanachama mtu kushauri mabadiliko ya uongozi wajuu nidgambi?kwakweli hiki chama kijitafakari maana kinafanya maamuzi magumu mno,yanayoweza kukigharim chama
  3. kiria2000

    Dr. Slaa: Mfuko wa cement utakuwa Tshs 5,000.. Ni KWELI 100%

    Umechambua vizuri sana lakini wanasiasa wetu watanzania,wanafanana tabia tofauti nivyama,lakini wakishapata madaraka wanabadilika nakuwa nakuwa madalali wapenda maslahi binafsi kuliko yaliyowapeleka bungeni wengine wanayaama majimboyao nakwenda kuishi mbali.kiufupi ata raisi awenani hawezi...
  4. kiria2000

    Ni kweli Mh. Komba alitabiri kifo chake?

    Hacheni kuihukumu maiti,mchu ameshakufa bado mnatusi
  5. kiria2000

    Prof. Muhongo kutohojiwa na Tume ya Maadili

    Unayesema muhongo kaujumiwa umevurugwa tena utakuwa yaleyale majizi ya c.c.m
  6. kiria2000

    Mrema kutoka mheshimiwa kuelekea kuwa mdharaulika

    Lilicho mfanya mpaka akaamua kufanya biashara yarejareja niushushushu wakisiasa,mtu umeshakuwa waziri mpaka kesho unalipwa unaangaikia nini?
  7. kiria2000

    Mrema kutoka mheshimiwa kuelekea kuwa mdharaulika

    Hafai kuwa kiongozi tena amezeeka
  8. kiria2000

    Muhidin Issa Michuzi atokelezea

    Habari kaka
Back
Top Bottom