Mkuu una hasira na police tu ndio maana lakini hii issues ukiicheku haijakaa poa kwa mtoto wa kiongozi kufanya vile maana inaonekana baba yake hakumlea kimaadili ya kuheshimu watu wengine maana
Kinachokuja kuumiza ni ile trust fake alioitengeneza kwako ili umuamini ni mgumu kugegedeka dah[emoji26] kumbe wenzio wanambuluza mpaka mitaroni we mixture kumgharamia.god save us
Sasa mkuu mbona kama unawateta marafiki zako kwanini usiwachane live walipokwambia hayo unayoyasimulia
Hakuna mtu asiependa kufanikiwa na hakuna mtu asiepambana sote tunapambana mda tu haujafika sitaki kuamini mtu aliepambana mpaka kapata degree awe yupoyupo lakini nakukumbusha ili ufanikiwe...
Helo wanajamvi, saizi nipo kwenye daladala hapa naelekea mjini. Pamoja na pilika za ujenzi wa barabara ya mwendo kasi lakini njia imemwagiwa maji hakuna changamoto ya vumbi kwahiyo ni raha bin burudani kabisa.
Lakini hilo la kumwaga maji kupunguza vumbi halifanywi mara kwa mara jambo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.