Recent content by kipwate

  1. kipwate

    Wale tuliosoma Makongo Secondary School tukutane hapa

    Maisha yako kasi sana mkuu Mwaseba sasa ni Brigedia Gen last time alikua Marekani ,Mayebe nilimuacha akiwa Major ,Kisonga alikua anazngua mademu wa pree form 5 na kumbuka siku raia tulizingua kurudisha viti nyambizi hall mvua ilikua ina nyesha skauti moja akafunga geti aka ita MP walikua...
  2. kipwate

    Musoma: Askari Polisi Ajiua kisa Mapenzi, ni baada ya kulipa fidia ya Sh. milioni 1.5. Aacha ujumbe mzito

    Nimeiona mkuuu ina sikitisha jamaa tumesoma wote shule ya msingi
  3. kipwate

    Vitambaa kwenye makochi na viti ni vya kazi gani?

    Haswa sikukuu kubwa kaka christmas na pasaka
  4. kipwate

    Wale tuliosoma Makongo Secondary School tukutane hapa

    Ha ha ha alikua na misifa sana huyu
  5. kipwate

    Wale tuliosoma Makongo Secondary School tukutane hapa

    Major Mayebe....kuna siku huyu afande alikua ana watafuta watoro,kuna jamaa aka ruka senyenge huku nyuma karibu na nyambizi kwenda mbuyu wa kota,afande mayebe hakupata tabu alishika alama ya viatu vya jamaa aka muacha msela aliruka kavu ya mbele asikamatwe.kesho yake Mayebe alipita kila...
  6. kipwate

    Muna ametua Airport bila maiti ya mwanaye

    Dah Mungu amsemeh huyu dada
  7. kipwate

    Gari la ndoto yako: Ni aina gani ungependa kumiliki?

    Mungu bariki na tamani kuja kumiliki Discover TDI old model roho ya paka
  8. kipwate

    Muna ametua Airport bila maiti ya mwanaye

    Ina maana amemkana huyu mama??? Alikua mwalimu wangu huyu mama (mwalimu moyo)
  9. kipwate

    Polisi ampiga makofi mtoto mchanga Mbezi Afrikana

    Hawana ubinadamu hata kidogo sina hamu nao kabisa
  10. kipwate

    Happy Birthday Hajar

    Happy birthday my Lovie Mungu akutunze na kukupa hitaji la moyo wako.
  11. kipwate

    Niliyoyashudia Morogoro sitasahau

    Hongera sana mkuu nahisi pit bull ni watata sana kuliko rot
  12. kipwate

    Kuhudhuria misiba kunavyowatia umasikini Watanzania

    Mkuu siku hizi mtu ana dafatr kabisa la mahudhurio msibani kama ukufika kwenye msiba wake sahau yeye kuja kwako
  13. kipwate

    Ukitaka kuwa Mkulima ni vizuri ukawa Shambani, sio mjini

    Mkuu na kubaliana na wew 100%, na jamaa yangu baada ya mim kuanza mradi wa shamba la nguruwe huyu rafik aka hamasika muda huo huo mwenzangu yuko masomon hapo st joseph ya mbez,alikua ana fugia goba sasa jamaaa muda wa kwnda shambani hana ana fuga kwa simu kusema apite muda hana kabisa,jamaa...
Back
Top Bottom