Ukifuatilia kwa karibu utagundua kuwa wachagga ni jamii yafamilia 12 nazo ni,WAROMBO,WAMWIKA,WAMAMBA,WAMARANGU,WAKILEMA,WAKIRUA,WAMOSHI,WAURU,WAKIBOSHO,WAMACHAME,WAMASAMA,NA WASIHA.Sasanitawaeleza,asili yahawa waislam wamasama roo,kwasadala,mudio na wale wa kalali.