Bei Mbaya
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 2,262
- 843
hii ndiyo safari ya mwisho wa kisiasa kwa bwana Ngoyai EL
utabiri wa samuel sitta Arumeru umetimia
ushiriki wa Nape Nnauye na undumila kuwili umedihirika
safari ya Lowasa kuelekea 2015 shakani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hii ndiyo safari ya mwisho wa kisiasa kwa bwana Ngoyai EL
well.. tangu jana mmeona nikiripoti lolote toka ARumeru? don't doubt it. Kama ulikuwa na mpango wa kwenda kusherehekea you have my permission.
ok, let me say "i trust you" Chadema viva, wat if matokeo yatatangazwa different from that?Quote me.
Itv hawachakachui kama unafuatia vizuri utaona, chadema wanaongoza vituo vingi sana, yan wamewaacha ccm mbali sana!mkuu mwanakijiji kuna vyombovya habari vinajaribu kuchakachua.mfano ni itv.
Sio vituo 80 ni asilimia 80 ya vituo vyote piga mahesabu ni vituo vingapi, inauma lakini nitakusaidiaje.Matokeo vituo 80 wkt vituo vk 300 unawapa watu majibu hewa bado ndo kwaaanzaaa mimba imetungwa subiri upepeo utakaovuma nyambaaaaafffff
sio rahisi hivyo labda kama kura zinapigiwa JF