hiyo ni kweli kabisa...la kuongezea tukawe watii na kuheshimu kazi, dai haki yako kisheria....wapo waalimu watakao pandikiza mbegu mbaya kwa wageni kuwa makini...
Habari wana JF, ninaomba kupata ufafanuzi kuhusu swala hili. Matangozo ya ajira hasa ktk taasisi za serikali yanapotolewa huwa wanasisitiza kuwa, kama unaomba nafasi ya kazi na huku umeajiriwa ktk utumishi wa uma basi barua yako ya maombi ipitie kwa muajiri wako. Sasa naomba nifahamishwe faida...
La msingi kama jamaa zako au wazazi wanajiweza ,wajiandae kukupa fedha kidogo ya kukusaport kabla ya mshahara, .....ishu ya mishahara inategemea na halmashauri uliyopo, wapo wakurugenzi wanaojali watawalipa kwa muda ht kabla hazina haijatoa salary..........ninavyojua fedha ya kujikimu...
ni kweli kabisa nchi za Afrika ni lazima lione hili, umoja wa Afrika utoe tamko na kuchukua hatua dhidi ya kikundi cha anti balaka.....lkn pia kama kweli ni kikundi cha kikristo basi umoja wa maaskofu na taasisi za dini zitume wajumbe huko kwani viongozi wa dini watakuwa na ushawishi mkubwa kwa...
Wakristo wa antibalaka wanadai kuwa wanalipiza kisasi, hilo si jambo zuri hata kidogo kufanya hivyo, na nina amini sio wakristo wote wanataka kulipiza kwani wapo waislamu zaidi ya 200 ambao wamehifadhiwa kwenye kanisa moja huko CAR. Watanzania tujiepushe kabisa na hii migogoro ya kidini ni kweli...
Diploma mi wazuri katika ufundishaji, maadili na content pia kwa level yao. Pia wanawashinda waalimu wengi wa degree kwenye practical preparation.Degree wanajua content ngumu zaidi ya diploma.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.