Recent content by kipa

  1. K

    Kashfa mpya: Kamati ya Bunge yahongwa

    QUOTE Katibu wa Bunge akiri kufahamu tuhuma hizo na Mwandishi Wetu IKIWA takribani wiki moja sasa tangu gazeti hili liliporipoti jinsi wabunge wanavyochuma mamilioni ya fedha kupitia malipo yao halali ya mishahara, posho na fedha nyinginezo zinazotokana na malipo yao rasmi...
  2. K

    Chenge ashikiliwa polisi kwa ajali ya gari iliyosababisha vifo

    Msheshimiwa Mwiba, Kweli Wadanganyika tuna safari ndefu, haya ngoja nijaribu na mimi kukuelimisha Insurance ( Bima ) ndio iliyokwisha 2007 Zanzibar insurance company ni shirika mama la bima lilosajiliwa kwa ajili ya kutoa bima mbalimbali ikiwemo ya magari, shirika hili lina mawakala wako...
  3. K

    Chenge ashikiliwa polisi kwa ajali ya gari iliyosababisha vifo

    Mheshimiwa Kang, Kuzinunua hizo sticker bila ukaguzi ndio Rushwa yenyewe, Wewe unazinunua 5000 kukwepa kupeleka gari kukaguliwa, ungepeleka gari ungelipa 3000TShs, Hata kama ni mradi wa kukusanya pesa lakini ndio sheria, haijali kama ni mbaya au nzuri, Msheshimiwa na wewe ni miongoni wa watoa...
  4. K

    Chenge ashikiliwa polisi kwa ajali ya gari iliyosababisha vifo

    hapo swala jingine alikuwa na hiyo sticker ya zain, hiyo sticker unapewa tu iwapo gari imechikiwa na kuthibitishwa kwamba inaweza kutembea barabarani, vitu vinavyoangaliwa ni CD ya gari ni valid, insuarance ni valid gari lenyewe halina matatizo techniacally, sasa hapa utaona hiyo sticker kapewa...
  5. K

    Chenge ashikiliwa polisi kwa ajali ya gari iliyosababisha vifo

    Hata hapa Bongo Sheria ni hiyo hiyo na ipo kuna Distance unatakiwa uiache kati yako na gari ya mbele yako, sikumbuki exactly distance lakini kama dereva unae jua sheria za barabarani unapima kwa kukadiria umbali kati yako na gari la mbele yako uwe sawasawa na ukubwa wa gari yako kati yenu, au...
  6. K

    GE2010 Karibu na uchaguzi tutasikia mengi wadanyika sisi, naibu waziri afufuka

    Na Habel Chidawali,Dodoma ( MWANANCHI ) NAIBU Waziri wa Fedha na Uchumi, Omari Yusufu Mzee amewajia juu watumishi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na kudai kuwa, baadhi yao ni wezi wakubwa, jambo linalolifanya taifa likose usingizi kwa ajili yao. Mzee alisema hayo jana katika ofisi za...
  7. K

    Mishahara ya viongozi wa Tanzania

    Ibrah, Tena hapo spika atamtoa macho slaa, nakumbuka kikao kimoja waziri mkuu walikuwa anajibu kuhusu matumizi ya magari ya fahari kupunguzwa, coment ya spika ilikuwa nanukuu "Jamani haya yetu msiyaguse, yaani spika atembee kwenye mahindra" mwisho wa kunukuu, unaweza kuona jinsi hawa jamaa...
  8. K

    Take Dowans issue back to parliament ? Malecela

    I think this Mzee is out of touch, Hivi hao wakulima na wafanyakazi wanaomiliki CCM wako wapi????? Mbona kwenye wabunge wote hayupo hata mmoja????? siku hizi hata kwenye madiwani ni wachache Mzee acha Hadithi za kufikirika, au anataka tuamini yeye ni mkulima, Please spear me that boo shit
  9. K

    Take Dowans issue back to parliament ? Malecela

    [ Reacting to public concerns that the ruling party is now dominated by a few richer cadres, Malecela said CCM belonged to the workers and farmers of the country, and the rich will not be allowed to ’’hijack’’ it. ’’Never will CCM be ruled by the rich. If there are people who think they can...
  10. K

    Is our president serious?

    Dear Kell01 na wengine wote, Tatizo hapa sio lugha jamaa (Kikwete ) (nashindwa hata kumuita Raisi) alielewa swali vizuri sana, ukweli ni kwamba hakuna plan yeoyte so far, haya matatizo ya uchumi wa dunia yana kitambo sasa na yamekuwa yakizungumziwa kwa muda sasa, lakini cha ajabu eti sasa...
  11. K

    Dowans: Another Richmond in making?

    Mkandara, Ni lazima Kikwete alaumiwe kwa hili, yeye ni mkuu wa nchi tuliomchagua sisi anawajibika kwetu ( Wananchi ), Yeye ndiye anateua (Wasaidizi wake ) Mawaziri, wakuu wa mikoa, wa wilaya na wakurugenzi wakuu wa mashirika ya umma kutokana na ushauri wa wizara husika, wakurugenzi hao...
  12. K

    Dowans: Another Richmond in making?

    Nafikiri swala sio Rais wetu yuko upande upi, Tazama aliwahi kuulizwa na mwandishi mmoja kule Paris juu ya umasikini wa afrika, akajibu namnukuu " hata mimi sijui kwanini mpaka leo sisi ni masikini" Hili ni jibu la mpumbavu haswa akiwa kiongozi wa nchi Aliye ingia madarakani na kukuta Gari mpya...
  13. K

    Amatus Liyumba: Balaa!

    mambo vipi wakubwa, mimi mgeni nimeingia leo hapa JF hube nipine hako ka list ka huyu Fisadi Liyumba regards kipa
Back
Top Bottom