Hujui unachokisema ndugu. Haiandikwi %95 bali 95% la sivyo andika kwa kiswahili tu asilimia tisini na tano.
Umeshapoteza sifa za kua mmoja wa wakosoaji.
Napaya wasiwasi kama habari hii ni ya kweli. Ila kama ni kweli, bado kuna mengi sana yanayoweza kuwa nia ya huyo dada. Labda amekupenda sababu huwa anaona mada zako kwenye social networks kama alivodai ama pengine kakuona kama ni mtu ambae utaweza kumsaidia tatizo lake fulani kutokana na hali...
Napata mashaka sana ufwatiliaji wa chaguzi hizi za marekani. Watu wanaleta maneno ya mitaani hapa. Kama husomi magazeti, na hupitii websites za habari za nje tofauti tofauti lazima utasema Trump hakusema africa hayo.
Hahahahaha embu tujuzee zako za Skysports goddamn! Anzisha mada hapa uone uelewa wangu kwenye International issues. Am a diplomat for your information!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.