CHADEMA yawatia kiwewe CCM mkoa wa Mara

Mmawia

JF-Expert Member
Aug 20, 2013
122,494
96,073
Kufuatia moto wa CHADEMA kuwa mkali na hivyo kupelekea wananchi wengi kuipenda CHADEMA na kuisusa CCM,wanaccm kupitia jumuiya ya wazazi mkoa wa Mara wameanza kufanya kwa kukurupuka bila kujali mipaka yao ya kiuongozi na kuwatishia watumishi wa taasisi za kiserikali kuwa jumuiya hiyo ya wazazi ya CCM itaanza kuwachukulia hatua hao wafanyakazi.

Hivi jumuiya ya wazazi ya CCM imepata wapi mandate ya kuwafukuza watumishi wa umma?

Naamini CHADEMA imeanza kuwatia kiwewe hao CCM.

Hongereni sana wanachadema na UKAWA kwa ujumla, kazeni uzi hivyo hivyo
 
Kufuatia moto wa cdm kuwa mkali na hivyo kupelekea wananchi wengi kuipenda cdm na kuisusa ccm,wana ccm kupitia jumuiya ya wazazi mkoa wa mara wameanza kufanya kwa kukurupuka bila kujali mipaka yao ya kiuongozi na kuwatishia watumishi wa taasisi za kiserikali kuwa jumuiya hiyo ya wazazi ya ccm itaanza kuwachukulia hatua hao wafanyakazi,hivi jumuiya ya wazazi ya ccm imepata wapi mandate ya kuwafukuza watumishi wa umma?naamini cdm imeanza kuwatia kiwewe hao ma ccm.Hongereni sana wana cdm na ukawa kwa ujumla kazeni uzi hivyo hivyo
Nimeamini wewe ni zao la div 5 pole mkuu kafuge ngombe huku unapoteza muda...:mad::p
 
Hahahaa mkuu,umemkumbusha huyo atekeleze ile kauli ya "ulipo tupo" sasa akachunge ng'ombe na babu yake aliyehojiwa bbc. Hakika ni zao la division 5 na alipata 0.
Naona umeamua kupeleka ujumbe kijanja kwa mulugo
 
Kufuatia moto wa CHADEMA kuwa mkali na hivyo kupelekea wananchi wengi kuipenda CHADEMA na kuisusa CCM,wanaccm kupitia jumuiya ya wazazi mkoa wa Mara wameanza kufanya kwa kukurupuka bila kujali mipaka yao ya kiuongozi na kuwatishia watumishi wa taasisi za kiserikali kuwa jumuiya hiyo ya wazazi ya CCM itaanza kuwachukulia hatua hao wafanyakazi.

Hivi jumuiya ya wazazi ya CCM imepata wapi mandate ya kuwafukuza watumishi wa umma?

Naamini CHADEMA imeanza kuwatia kiwewe hao CCM.

Hongereni sana wanachadema na UKAWA kwa ujumla, kazeni uzi hivyo hivyo
Mmawia mi sikushangai bado upo katika maisha ya itikadi, ni hatua lazima uipitie ili uweze kufikikia hatua ya kuwa binadamu mwenye fikra huru, endelea ipo siku utaona maisha hayaongozwi na itikadi wala Imani za kusigana.
 
Mmawia mi sikushangai bado upo katika maisha ya itikadi, ni hatua lazima uipitie ili uweze kufikikia hatua ya kuwa binadamu mwenye fikra huru, endelea ipo siku utaona maisha hayaongozwi na itikadi wala Imani za kusigana.
Kwa akili hapo ndio umeandika kitu gani mkuu Omuchimati?
 
Kufuatia moto wa CHADEMA kuwa mkali na hivyo kupelekea wananchi wengi kuipenda CHADEMA na kuisusa CCM,wanaccm kupitia jumuiya ya wazazi mkoa wa Mara wameanza kufanya kwa kukurupuka bila kujali mipaka yao ya kiuongozi na kuwatishia watumishi wa taasisi za kiserikali kuwa jumuiya hiyo ya wazazi ya CCM itaanza kuwachukulia hatua hao wafanyakazi.

Hivi jumuiya ya wazazi ya CCM imepata wapi mandate ya kuwafukuza watumishi wa umma?

Naamini CHADEMA imeanza kuwatia kiwewe hao CCM.

Hongereni sana wanachadema na UKAWA kwa ujumla, kazeni uzi hivyo hivyo
ukitaka kujua zaidi jaribu kuuliza elimu ya hao viongozi wenyewe , aibu ! Mwenyekiti wa Taifa anaitwa Bulembo , ndiye boss wa Le Mutuz .
 
Back
Top Bottom