Recent content by kiokoteeee

  1. kiokoteeee

    Naweza kufa kwa hii tabia yangu ya kutozungumza, nisaidieni

    pole dada bt usimuache mumeo hujui mungu amekupangia nn mpka kuku kutanisha nye huyo anye jifanya kukwambia uombe talaka baadae atakukana kma pilato usisubutu mpendwa vumilia huku ukimuomba mungu ipo siku utafurahi.
  2. kiokoteeee

    Nimechoka kubeba box, yeye hataki turudi Tanzania, nimuache?

    Mtu km hanamuelekeo achana nye dada bahti haiji mara mbili.
  3. kiokoteeee

    Kwanini wanamke baadhi mnashindwa haya?

    mbona yenu hm yasemi?
  4. kiokoteeee

    Kinadada acheni kumsumbua Mungu

    kwani ww umeona nn lbda
  5. kiokoteeee

    Kinadada acheni kumsumbua Mungu

    kwani ww umeona nn lbda
  6. kiokoteeee

    Kinadada acheni kumsumbua Mungu

    kma ww huwez kumlea mtt wa mwenzio ni ww tu n roho mbaya yko wenzio wna lea n kuwq n mtt bila mume sio umalaya mengi ynaweza kukuta ukafiwa n mume au mke mambo meng ynaweza kutokea.ww umeongea ivyo kimpango wko n mtazamo wko lkin sio mtazamo wa wengine.
Back
Top Bottom