natamani sana kujua namna ya kuzipata zile filamu zake zilikuwa zina mafundisho sana. zilikuwa zinahusu athari za madawa ya kulevya na bangi. hebu tuambie namna ya kuzipata maana vijana wetu wanapotea hakuna mafundisho yoyote ya maana wanayopata kupitia hizi Bongo movie za sasa.
jambo zuri ila matumizi ya whatsapp ni nonsense. hivi hii inchi na madigrii yote ya IT na computer watu hawawezi kutengeneza APPS kwa ajili ya mambo kama haya? hata Tanesco wanaweza kuwa na App yao wenyewe ya kuwasiliana na wateja wao na haina ubishi kila mtu ataipakua kwa sababu umeme ni swala...
lazima tulalamike sana kwa sababu tunapenda usingizi. ila hiyo ni fursa kwa watanzania siku chache zijazo pale viwanda vyetu vitakapoanza kuzalisha sukari zaidi ya uganda. actually sisi ndio tutawauzia sukari.
kuna baadhi ya sheria zina watia aibu hao waliozitunga. hii sheria ya kuzuia mtu asisafirishe kitanda ni moja kati ya sheria ya hovyo kabisa mimi kuwahi kuisikia. inawezekana hii sheria ina mapungufu fulani katika maelezo sasa hao watekelezaji wa sheria wanashindwa kujiongeza au kutumia busara...
umenena vema. Tanzania sio nchi kubwa wala haina watu wengi sana ambao watalazimika sana kusafiri na ndege. kuna uwezekano bei za ndege zikapanda sana kwa sababu soko litakuwa linamilikiwa na ATCL pekee. safari nyingi tanzania ni mwendo wa siku 1 tu. watu hawatalazimika sana kupanda ndege na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.