Recent content by Kinyau original

  1. K

    Wasomi na CCM: Tutimize wajibu wetu 2015! (Raia Mwema Septemba 2, 2015)

    Kigwa katika ubora wako! Vipi harufu ya choo huko haitoi harufu!? Jana tumeambiwa kuna kinyesi kilitoka huko na kipo sebuleni kinanukaa balaaa! Mmmmh ebu tupe tafsiri ya originality ya hicho kinyesi!
  2. K

    Kusema Lowassa ni mpango wa Mungu, ni kumtukana Mungu

    Mwenyenzi Mungu muumba mbingu na Nchi yu kwa alijili ya wenye dhambi na wakosefu!kupitie yeye wapate wokovuu!
  3. K

    Kutoka Sirari, Tarime vijijini: Mkutano wa uzinduzi kampeni CHADEMA

    Hicho kinyesi lilikuwa wapi!? Kumbe kuna sehemu kuna chooo!
  4. K

    ACT-Wazalendo, meneja wenu wa kampeni anawaharibia

    Utajuaje Afya ya mtu kwa kumdhihaki!? Kumbuka ana familia! By the way sheria kuhusu Afya ya mgombea zinasemaje!? Ebu tutumie ndimi zetu vizuri, kwanza huyo ni km mtoto wake, ajabu anapata wapi uthubuti kwa kutukana watu wazima tena hadharani! Hongera Zitto kwa kuomba msamaha pia alikarahisha...
  5. K

    CCM inafanya kampeni kizamani!

    Hakika Paul umenena,malofa ktk ubora wao!
  6. K

    Dr. Slaa: Sijatoa tamko lolote, Sitokuwepo Jangwani Kwenye uzinduzi wa Kampeni za CCM

    Kwa hiyo bado umesusa!? Hiyo tabia umeianza lini!? Mwanaume huwa hana desturi ya kususa! Tuambie msimamo wako, ww ni political figure katika Nchi yetu! Sema acha kutoa matamko ya kukanusha Kila siku, pia ukumbuke wapenzi na mashabiki zako wana roho ya Nyama!
  7. K

    Wassira,Unatania au Unawakejeli !!

    Kaaah! Eti hata jembe la mkono watalisahau! Kwa kweli huko ni kuongea kwa kufikiri kwa manani! Mak**o! ni mtu Wa ajabu sana huyu Mzee! Wapi project ya kilimo kwanza!? Sio siri anatia hasira sna! Badala ya kuwaambia wananchi wake issues km pembe za ndovu zilikamatwaje uswis yy analeta blabla hapa!!
  8. K

    Mafuriko kuelekea Zanzibar kesho J3

    Tuwekee japo tupicha tudogo plz! Jana nilidhani haitatokea km Arusha, lakini leo mwanza ilikuwa ni shidaaaaa! Na kama ndo moto wa mabua ulivyo basi utateketeza vingi
  9. K

    Unafiki wa viongozi wa CHADEMA huu hapa

    Kaaa! Huwa nashangaa ujasiri wa kijinga wa huyo Liza, nilidhani ni paja shume tu mwenye roho ngumu kumbe hata binadamu, hii hatari sana. Hata picha tu haoni! Ni meona hata mheshimiwa sna amekiri kufungwa na timu dhaifu sna! Mnalo mwaka huu! Ebu washauri viongozi wako waache kejeli na matusi kwa...
Back
Top Bottom