Kigwa katika ubora wako! Vipi harufu ya choo huko haitoi harufu!? Jana tumeambiwa kuna kinyesi kilitoka huko na kipo sebuleni kinanukaa balaaa! Mmmmh ebu tupe tafsiri ya originality ya hicho kinyesi!
Utajuaje Afya ya mtu kwa kumdhihaki!? Kumbuka ana familia! By the way sheria kuhusu Afya ya mgombea zinasemaje!? Ebu tutumie ndimi zetu vizuri, kwanza huyo ni km mtoto wake, ajabu anapata wapi uthubuti kwa kutukana watu wazima tena hadharani! Hongera Zitto kwa kuomba msamaha pia alikarahisha...
Kwa hiyo bado umesusa!? Hiyo tabia umeianza lini!? Mwanaume huwa hana desturi ya kususa! Tuambie msimamo wako, ww ni political figure katika Nchi yetu! Sema acha kutoa matamko ya kukanusha Kila siku, pia ukumbuke wapenzi na mashabiki zako wana roho ya Nyama!
Kaaah! Eti hata jembe la mkono watalisahau! Kwa kweli huko ni kuongea kwa kufikiri kwa manani! Mak**o! ni mtu Wa ajabu sana huyu Mzee! Wapi project ya kilimo kwanza!? Sio siri anatia hasira sna! Badala ya kuwaambia wananchi wake issues km pembe za ndovu zilikamatwaje uswis yy analeta blabla hapa!!
Tuwekee japo tupicha tudogo plz! Jana nilidhani haitatokea km Arusha, lakini leo mwanza ilikuwa ni shidaaaaa! Na kama ndo moto wa mabua ulivyo basi utateketeza vingi
Kaaa! Huwa nashangaa ujasiri wa kijinga wa huyo Liza, nilidhani ni paja shume tu mwenye roho ngumu kumbe hata binadamu, hii hatari sana. Hata picha tu haoni! Ni meona hata mheshimiwa sna amekiri kufungwa na timu dhaifu sna! Mnalo mwaka huu! Ebu washauri viongozi wako waache kejeli na matusi kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.