Leo akiwa anachukua fomu ya kugombea ubunge jimbo la Bunda amewambia wananchi kuwa wamefhamiria kupambana na umasikini na tatizo la ajira kwa vijana ktk miaka mitano.
Wasira anatania au anawakejeli?
Mwanasiasa jina lake tu ndo husema ukweli.
Mkuu naluunga mkono. Lakini kama ni bakora alipaswa achapwe siku aliyotangaza nia ya kugombea urais pale aliposema amedhamiria kuondoa kilimo cha jembe la mkono na akiwa rais ataliweka kwenye jumba la makumbusho. Hapo bakora zilipaswa zitembee maana alishindwa vipi japo kuliboresha hilo jembe la mkono angalau litumie batrii za tochi alipokuwa waziri wa kilimo? Licha ya hicho alichokisema kuliweka kwenye jumba la makumbusho....