ACT-Wazalendo, meneja wenu wa kampeni anawaharibia

ACT-Wazalendo, meneja wenu wa kampeni anawaharibia

jembe afrika

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2014
Posts
7,602
Reaction score
3,782
Kwa hali niliyoiona na matamshi ya huyu meneja wa kampeni Mungu amsamehe tu. Sidhani kama kuna mtu mwenye bima ya kudumu ya afya chini ya hili jua. sikatai siasa ni kuchafuana na si kumcheka na kumdhihaki eti ana degedege au kifafa, juzi nikiwa hospital nilimuona mtoto anaanguka kifafa na akakauka hii hali ilinitoa machozi. Lakini mtu mwingine ndo mtaji wa kujizolea sifa huo ni upumbavu.

Ni heri angemuita Lowassa fissadi na si suala la afya, CCM siipendi ila Magufuli kampeni ya naisifia maana hatukani mtu yeye anatangaza sera ingawaje yeye hakutakiwa kutangaza sera alichotakiwa atueleze wezi wa Escrow wamewafanyaje, mpaka sasa uchumi wa nchi ukoje na si kutangaza sera mpya na za awali hujazimaliza.

Suala hapa wananchi tunataka sera. Hongera Lowasa, Magufuli na Zitto kwa kutumia jukwaa kistaarabu bila matusi. Narudia tena afya ya mtu mwachie Mungu, mkosoe mtu kwa matendo.

Nakupa pole Zitto Kabwe kwa kuwa na meneja anayetamani hasira ya Mungu kwa kulazimisha.

Jembe Afrika..
 
Kwa hali niliyoiona na matamshi ya huyu meneja wa kampeni Mungu amsamehe tu. Sidhani kama kuna mtu mwenye bima ya kudumu ya afya chini ya hili jua. sikatai siasa ni kuchafuana na si kumcheka na kumdhihaki eti ana degedege au kifafa, juzi nikiwa hospital nilimuona mtoto anaanguka kifafa na akakauka hii hali ilinitoa machozi. Lakini mtu mwingine ndo mtaji wa kujizolea sifa huo ni upumbavu.

Ni heri angemuita Lowassa fissadi na si suala la afya, CCM siipendi ila Magufuli kampeni ya naisifia maana hatukani mtu yeye anatangaza sera ingawaje yeye hakutakiwa kutangaza sera alichotakiwa atueleze wezi wa Escrow wamewafanyaje, mpaka sasa uchumi wa nchi ukoje na si kutangaza sera mpya na za awali hujazimaliza.

Suala hapa wananchi tunataka sera. Hongera Lowasa, Magufuli na Zitto kwa kutumia jukwaa kistaarabu bila matusi. Narudia tena afya ya mtu mwachie Mungu, mkosoe mtu kwa matendo.

Nakupa pole Zitto Kabwe kwa kuwa na meneja anayetamani hasira ya Mungu kwa kulazimisha.

Jembe Afrika..
Afya ya kiongozi anaegombea nafasi ya utumishi wa umma ni public interest, unataka yatukute ya Zambia na kasheshe za kurudia uchaguzi wa Raisi. Kama hamtaki watu kuhoji kuhusiana na afya zenu kwa nini mnataka nafasi ya Raisi?
 
Afya ya kiongozi anaegombea nafasi ya utumishi wa umma ni public interest, unataka yatukute ya Zambia na kasheshe za kurudia uchaguzi wa Raisi. Kama hamtaki watu kuhoji kuhusiana na afya zenu kwa nini mnataka nafasi ya Raisi?


Kwani kuna MTU anapromise ya kuishi muda anaotaka unaweza ukafa wewe myenye afya akabaki aliye kitandani

Hakuna ajuaye kesho yake we angaikia ya Leo tuuu ya kesho ni majaliwa
 
Afya ya kiongozi anaegombea nafasi ya utumishi wa umma ni public interest, unataka yatukute ya Zambia na kasheshe za kurudia uchaguzi wa Raisi. Kama hamtaki watu kuhoji kuhusiana na afya zenu kwa nini mnataka nafasi ya Raisi?
Leo hii afya ya mtu imekuwa public interest!? Mbona hamkutuambia kilicho muua waziri wa zamani wa fedha Prof William Mgimwa!? Na kama huyo Magufuli ni mzima alienda kufanya nini kwa babu wa Loliondo!?:dizzy:
 
Kwani kuna MTU anapromise ya kuishi muda anaotaka unaweza ukafa wewe myenye afya akabaki aliye kitandani

Hakuna ajuaye kesho yake we angaikia ya Leo tuuu ya kesho ni majaliwa

Mkuu kuna watu wanakosa busara kabisa
 
Afya ni majaliwa ya mwenyezi Mungu. Leo tupo wazima kesho tunaumwa. Huwezi kujivunia Afya yako, eti mimi nina afya sana kuliko wengine. Tusikufuru tumwachie mungu suala la afya.
 
afya ya kiongozi anaegombea nafasi ya utumishi wa umma ni public interest, unataka yatukute ya zambia na kasheshe za kurudia uchaguzi wa raisi. Kama hamtaki watu kuhoji kuhusiana na afya zenu kwa nini mnataka nafasi ya raisi?

wewe ujionaye una afya unaweza kufa leo jioni na usione tena utumbo unao andika hapa JF na ukaacha hao udhaniao wagonjwa.

Act na ccm mpango wao umefeli vibaya.
 
Afya ya kiongozi anaegombea nafasi ya utumishi wa umma ni public interest, unataka yatukute ya Zambia na kasheshe za kurudia uchaguzi wa Raisi. Kama hamtaki watu kuhoji kuhusiana na afya zenu kwa nini mnataka nafasi ya Raisi?

We umeshawahi kuhoji afya ya Rais wako kabla hajaingia madarakani ten years ago?
 
Kwani kuna MTU anapromise ya kuishi muda anaotaka unaweza ukafa wewe myenye afya akabaki aliye kitandani

Hakuna ajuaye kesho yake we angaikia ya Leo tuuu ya kesho ni majaliwa

Kweli kabisa mkuu!
Siku za maisha yetu ziko mikononi mwa Mungu. Salio analijua Mungu tu! Huyo jamaa unaweza kukuta salio la siku zake za kuishi ni sawa sawa na idadi ya siku za kumfanyia kampeni huyo mama wa ACT!
 
Kweli kabisa mkuu!
Siku za maisha yetu ziko mikononi mwa Mungu. Salio analijua Mungu tu! Huyo jamaa unaweza kukuta salio la siku zake za kuishi ni sawa sawa na idadi ya siku za kumfanyia kampeni huyo mama wa ACT!

Kweli kabisa
 
Amuulize komba aliposema warioba anakaribia kufa je nan katangulia
 
Utajuaje Afya ya mtu kwa kumdhihaki!? Kumbuka ana familia! By the way sheria kuhusu Afya ya mgombea zinasemaje!? Ebu tutumie ndimi zetu vizuri, kwanza huyo ni km mtoto wake, ajabu anapata wapi uthubuti kwa kutukana watu wazima tena hadharani! Hongera Zitto kwa kuomba msamaha pia alikarahisha hata hadhila iliyo kuwa ikimsikiliza, achukue tafadhali sna huko mikoani otherwise .......aombe msamaha kwenye mikutano yao!
 
Afya ya kiongozi anaegombea nafasi ya utumishi wa umma ni public interest, unataka yatukute ya Zambia na kasheshe za kurudia uchaguzi wa Raisi. Kama hamtaki watu kuhoji kuhusiana na afya zenu kwa nini mnataka nafasi ya Raisi?

Kabla hajawa Rais kwenye KAMPENI KIKWETE alianguka zaidi ya Mara 1 mbona ulimchagua kwanini hukuogopa ya Zambia acheni upumbavu
 
Back
Top Bottom