VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
Kwa yanayotokea na kuwakumba,sasa ni dhahiri Edward Lowassa na Laurence Masha ni wapinzani. Wako upande mwingine. Huyu anakatazwa kutembelea wananchi;huyu anawahishwa mahakamani na kuswekwa rumande.
Wamehitimu mafunzo ya wapinzani. Poleni Lowassa na Masha;hongereni Lowassa na Masha. Siasa za vyama vingi ndizo hizo. Na ziendelee!
Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
Wamehitimu mafunzo ya wapinzani. Poleni Lowassa na Masha;hongereni Lowassa na Masha. Siasa za vyama vingi ndizo hizo. Na ziendelee!
Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam