Paul Alex
JF-Expert Member
- Jul 14, 2012
- 4,344
- 9,845
- Thread starter
- #21
Magufuli na Kikwete,tuseme CCM kwa kifupi kutumia ujenzi wa barabara kutafutia kura ni sehemu ya uelewa mdogo.
Wakati ni kweli kwamba barabara ni jambo la msingi sana lakini kura kwanza hazitolewagi kama pongezi au zawadi,pili hamna kundi katika jamii linalofaidika lenyewe tu binafsi na barabara.Hapa naomba nieleweke vizuri,wanafunzi pamoja kuwa wananufaika na barabara lakini wanajali zaidi gharama za elimu,ubora wa elimu na ajira.
Wafanyabiashara pamoja na kuwa wanafaidika na barabara wanajali zaidi kodi,upatikanaji wa mikopo na unafuu wa huduma za fedha.
Vivyo hivyo kwa makundi mengine.Barabara ni hoja ya ujumla sana,think tank ya kampeni ya CCM inapaswa kufikiri zaidi.
Wakati ni kweli kwamba barabara ni jambo la msingi sana lakini kura kwanza hazitolewagi kama pongezi au zawadi,pili hamna kundi katika jamii linalofaidika lenyewe tu binafsi na barabara.Hapa naomba nieleweke vizuri,wanafunzi pamoja kuwa wananufaika na barabara lakini wanajali zaidi gharama za elimu,ubora wa elimu na ajira.
Wafanyabiashara pamoja na kuwa wanafaidika na barabara wanajali zaidi kodi,upatikanaji wa mikopo na unafuu wa huduma za fedha.
Vivyo hivyo kwa makundi mengine.Barabara ni hoja ya ujumla sana,think tank ya kampeni ya CCM inapaswa kufikiri zaidi.