Recent content by Kinyarugina

  1. K

    Ni nani kawafundisha mabinti wa madukani kuiba? Tunakoelekea heri uweke kijana wa kiume kuliko binti, wamekuwa wajanja sana

    Biashara yeyote hasa ya reja reja kama huwez kaa wewe mwemyewe,au mke,au mme au mtoto lazima tu uta ibiwa tu. Ko kama huwez kaa mwemyewe cha msingi target faida yako kwa mwezi kama itafika basi relax maisha mengine ya endelee
  2. K

    Msaada: Nimekuwa nikifikiria kuanzisha Project ya utengenezaji wa Bahasha za kaki (Vifungashio)

    Habari ya wanajukwaa wenzangu, Mimi ni kijana wa kiume nipo mkoa wa Mbeya,nimekuwa nataman kuwa mtengenezaji bahasha hizi za kaki zinazotumika kama vifungashio. Nimefuatilia kwenye mitandaoni kuona wapi naweza pata ujuzi na tarifa rasimi juu ya huu mradi lakini nimekosa. Naomba kwa amabae...
  3. K

    Fursa za kiuchumi mkoa wa Mbeya

    Fursa za kiuchumi mkoa wa Mbeya Habari wakuu... Nimepangiwa Internship apo Hospital ya mkoa wa Mbeya, naomba kujua fursa ambayo zipo mkoa wa Mbeya naweza kuzifanya huku niki endelea na internship ya mwaka mmoja,kiasi changu cha pesa ni milioni mbili ivi.
  4. K

    Tanzania yaashika namba 2 kwa uzalishaji wa zao la tumbaku Afrika, yajipanga kushika namba moja

    Tumbaku sio kwa ajiri ya sigara tu mkuu...hutumika pia kuengenezea dawa na Baadhi ya mafuta
  5. K

    Niko kwenye utafiti Binafsi juu ya Biashara ya Kilimo cha zao la Tumbaku.

    Tutashukuru kwa mrejesho wako... although miaka ya nyuma kwetu hili zao lili shamiri...kilichokuja ua hili zao ni kuwa watu walikuwa wanakopeshwa pesa za kulima tumbaku kwa vikundi...so ndani ya kikundi kuna baadh ya members walikuwa wakizingua hawalimi kulingana na hela waliopewa mwisho wa siku...
  6. K

    Kuchelewa kupatikana kwa huduma ya internet ( fiber) TTCL

    Vitu vyote vinanyo endeshwa au vilivyo chini ya serikali asilimia kubwa ni takataka wafanya kazi hufanya kazi kwa kujiskia.
  7. K

    Walimu wenye likizo Desemba 2023 hawajalipwa nauli zao pamoja na serikali kutoa fedha muda mrefu

    Ata ivo mna PESA ata msipo pewa hio pesa Kama mnaweza mchangia rais form Urais [emoji23]
  8. K

    Namna bora ya kumsaidia Bwana Mdogo mtaji wa Biashara

    Bandiko zuri sanaa mheshimiwa... umetisha sanaa
  9. K

    Kama humfikishi mwanamke kileleni hawezi kuwa msiri wako

    Bonge la Comment Yaani asilimia kubwa vitu vingi tunavyo fanya wanaume tunafanya ili tuwa vutie wanawake au kurudhisha wanawake
  10. K

    Mjadala kwa wanaokataa Kuoa (Ndoa)

    Yaaah ngoja aseme mwenyewe [emoji23]
  11. K

    Mjadala kwa wanaokataa Kuoa (Ndoa)

    @dronedrake ashawahi kuoa...sema upepo wa kule ulimuendea kushoto ndo maana anakata ndoa [emoji3] Tunaomba utupe story yako juu ya ndoa tujifunze [emoji23]
  12. K

    Baada ya muda mrefu kukataa kuoa sasa sina budi kukubali kuja kuoa siku za usoni

    Pole brother...hauna ham kabisa na ndoa tupe kisa kwann hutaki ndoa Maana umeongea kwa hisia
Back
Top Bottom