Kuchasoni kuchawangu acha kukurupuka,ina maana hata yule rais wa IBF Africa aliyeshiriki kumvisha mkanda pale ukumbini haujui mkanda halisi?acha ushabiki wa kitumwa,heshima tuliyopata kama nchi ni kubwa,tumpongeze cheka kwa ushindi ule kwani hata Francois Botha amempongeza sembuse cc watanzania...
Wakati umefika sasa kwa walimu wa Tanzania kusimama kidete kulinda hadhi zao kama binadamu na sio kama walimu kwa sababu viongozi wengi hasa wasio na umahiri wa uongozi wanafanya vitendo hivi vya kudhalilisha walimu kwa makusudi ili waonekane wanawajibika kwa wananchi,wakae wakijua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.