Recent content by kinondoniilala

  1. K

    DC Kibaha aachana na mkewe, kisa Matokeo ya DNA

    Ila wadada wa Sikuhizi, kama hakupendi Wala hakwambii ila utapigwa tukio hilo...Dunia yote itashangaa
  2. K

    Hii ishu ya nyeti kupotea na Niki kuachana na Mke wake-Ni michezo tu ya kuficha jambo kubwa na zito la Kitaifa kwa sasa

    Ili kukoleza zaidi na vibanda Simu 2000 vikachomwa lengo ni kuwatoa Watanganyika kwenye mstari
  3. K

    Hii ishu ya nyeti kupotea na Niki kuachana na Mke wake-Ni michezo tu ya kuficha jambo kubwa na zito la Kitaifa kwa sasa

    Hizi Mbanga za eti mtu kaombwa 500 halafu kashikwa bega halafu nyeti zimepotea pamoja na Niki Mkuu wa Wilaya kuachana na Mke kisa DNA, hii ni michezo tu katika namna ya kuficha jambo kubwa la Kitaifa lisijadiliwe. Watanzania tujiulize jambo gani kubwa linalohitaji mjadala wa Kitaifa lijadiliwe...
  4. K

    Kutoka JamboTV: Kufa kwa TISS shida ni CCM au TISS yenyewe?

    TISS imebaki kuchongeana tu nani ana miliki Nini? Kuna jamaa yangu yupo chugani wanamfuatilia eti vitu alivyonazo kumbe masikini Hana hivyo vitu Kila siku wanamdhalilisha kapakwa mafuta
  5. K

    Diamond anaulizwa Sports Arena itajengwa lini Tanzania???

    Nafikiri suala hili amuulize G. Msigwa ndiyo Katibu Mkuu mwenye Dhamana ya viwanja vya michezo Tanzania, anaweza jua Bajeti ya Bilioni ngapi imetengwa, au Mkataba wa Bilioni ngapi umesainiwa na katika huo Mkataba ni ngapi zimeongezewa pasipo Mkataba.
  6. K

    Ninachoamini ni kwamba itachukua miaka mingi sana kwa Tanzania kuja tena kutawaliwa na Mwanamke

    List of shame unatoka lini? Hahahaha kweli tunaye na tunatamba naye....
  7. K

    Tulia Ackson acha Kututafuta tunayemjua vyema Marehemu Lukuvi na Dhambi zake kisha tufunguke na mtuone Wabaya sawa?

    Ni kweli kabisa, hapa Dodoma ana viwanja na nyumba za kupangisha katika Kila Mtaa ambao ni prime area
  8. K

    Mrithi wa Lukuvi ni huyu hapa...

    Wamenyooka Sana
Back
Top Bottom