Mimi Maboss wanaokataa kuingia kwenye mfumo ili KUHAMISHWA watu huwa nawashangaa Sana.
Mtu kaona fursa kwenda Taasisi A yenye kulipa vizuri na mshahahara mzuri na Marupurupu mazuri anapata wapi ujasiri wa kuzuia usihame???
Yaani kakuchorea mstari Kwamba usivuke zaidi ya hapa...ukivuka tu...
Ila Darisalimu hii tabia ya Wanaume kufukunyuana mtaroni imezidi Sasa...siku hizi hata lodge na guest za Darisalamu kukuta vidume vinapelekana lodge au guest kuchukua chumba ili wakafunyukuliwe mitaro imekuwa kawaida sana.
Inasikitisha sana
Naona Baby Zembwela kama MC aliamua kujiweka pembeni kabisa na mambo yao...hakutaka kabisa hata kuvaa hiyo kanzu
Adela nae nimemuona hakutaka kabisa kuvaa Madera na vijora, aisee Hawa watangazaji wapewe maua yao naona wanajiheshimu sana
Hata Adela hakutaka kabisa kucheza hizo nyimbo za Taarabu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.