Ingekuwa nchini Rwanda, wabunifu wa hilo Jengo, mkandarasi pamoja mkandarasi mshauri wote wangekuwa ndani.
KWANINI Feasibility Study haikufanyika proper????
Nchini Rwanda wamekataza vinywaji fake zenye brand za Tanzania.
Sasa wewe nenda chaka kwa chaka agiza kinywaji fake baadae usije lalamika kuwa Figo zimefeli
https://www.youtube.com/live/dBta4NXZCm4?is=GaPZMNUlvYMhaq2O
=============
"Kesi ya Tundu Lissu ya uongo, imetengenezwa. Kila mtu anajua. Ni kesi ya kisiasa ukisikiliza mashahidi na wenyewe walioifungua kila kitu. Inaonyesha kabisa ya uongo. Hii kesi ndio kesi pekee ambayo ipo katika Jamhuri...
Sawa nimeshakupa maelekezo. Ingia Terra Motors au Mirry Motors au Bingwa Magari Used katika Instagram account zao, wameingia mikataba na micro finance ambazo zina ofisi pia kama matawi Mikoani kama Dodoma na kwingineko.
Watamaliza tatizo lako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.