Recent content by kinondoniilala

  1. K

    JamiiForums Tanzania Asiaminike sana system wengi huwa hawastaafu

    When it comes to your own safety it's well known that Don't Trust No One
  2. K

    JamiiForums Tanzania Chalamila, Stendi ya mabasi ya Magufuli ni ndogo. Mabasii yanakosa sehemu ya kushushia na kuegesha

    Ujenzi wa Stand inahitaji zaidi ya Eka 300 Sasa ndani ya Mkoa wa Dar es Salaam unazitoa wapi??? Labda Tusubiri New Sinza Satellite Town
  3. K

    JamiiForums Tanzania Chalamila, Stendi ya mabasi ya Magufuli ni ndogo. Mabasii yanakosa sehemu ya kushushia na kuegesha

    Ingekuwa nchini Rwanda, wabunifu wa hilo Jengo, mkandarasi pamoja mkandarasi mshauri wote wangekuwa ndani. KWANINI Feasibility Study haikufanyika proper????
  4. K

    JamiiForums Tanzania Dj Choka hana busara hata kidogo. Maradhi yake isiwe sababu ya kuwahukumu watu

    Nchini Rwanda wamekataza vinywaji fake zenye brand za Tanzania. Sasa wewe nenda chaka kwa chaka agiza kinywaji fake baadae usije lalamika kuwa Figo zimefeli
  5. K

    JamiiForums Tanzania Dj Choka hana busara hata kidogo. Maradhi yake isiwe sababu ya kuwahukumu watu

    Naseeb aache kuonga atoe Mpunga
  6. K

    JamiiForums Tanzania Chalamila, Stendi ya mabasi ya Magufuli ni ndogo. Mabasii yanakosa sehemu ya kushushia na kuegesha

    Mabilionea wamiliki wa Mabasi ya Mikoani wameufyata.
  7. K

    JamiiForums Tanzania Unajua huwa inakuwaje ukioa mwanamke aliyekutana naye akiwa ashatumika?

    Tulia sindano ikuiingie uweze kupona
  8. K

    JamiiForums Tanzania Stori za Wanawake wanaojiita High Class Pisi Kali, ni kujadili Jinsi ya kupata waume za watu wenye hela.

    Nauliza Anko T naye yupo kundi hili????
  9. K

    JamiiForums Tanzania Stori za Wanawake wanaojiita High Class Pisi Kali, ni kujadili Jinsi ya kupata waume za watu wenye hela.

    Nuksi tu na milaana utakayoenda kupata
  10. K

    JamiiForums Tanzania Heche Anakiwasha Sana leo Clouds TV/FM - MSIKILIZENI

    https://www.youtube.com/live/dBta4NXZCm4?is=GaPZMNUlvYMhaq2O ============= "Kesi ya Tundu Lissu ya uongo, imetengenezwa. Kila mtu anajua. Ni kesi ya kisiasa ukisikiliza mashahidi na wenyewe walioifungua kila kitu. Inaonyesha kabisa ya uongo. Hii kesi ndio kesi pekee ambayo ipo katika Jamhuri...
  11. K

    JamiiForums Tanzania Mwigulu yupo wapi, mbona kimya ghafla?

    Ndani Ntititiii Nje Ntititiii 😂 😂 😂
  12. K

    JamiiForums Tanzania Naomba kupata kampuni isiyo ya ubabaifu ya wauzaji wa Magari USED wanaoruhusu kulipia kidogo kidogo

    Sawa nimeshakupa maelekezo. Ingia Terra Motors au Mirry Motors au Bingwa Magari Used katika Instagram account zao, wameingia mikataba na micro finance ambazo zina ofisi pia kama matawi Mikoani kama Dodoma na kwingineko. Watamaliza tatizo lako
  13. K

    JamiiForums Tanzania Kama Unafanya Uzinzi Sahau Kufanikiwa Maisha (Labda kwa Kutumia Waganga au Utapeli)

    JF siyo jukwaa la video za uchi. Kwaheri
Back
Top Bottom