Recent content by kinju

  1. kinju

    JamiiForums rasmi vitani, Musiba achafua hali ya hewa tena!

    Nimekupata mkuu, Hayo usemayo ni kweli
  2. kinju

    Imagine mbunge wa upinzani angechana kitabu cha BUDGET ya serikali?

    Bendera ya nchi au chama zipo nyingi lakini akitokea mwenda wazimu akaichoma moto,, Hapo sijui huwa anafanywaje,
  3. kinju

    Tuliowahi okota embe dodo tukutane hapa

    Hilo dodo lilikuwa kama LA masanja mkandamizaji, Kwani huchumwa nyakati za mchana tu
  4. kinju

    Mhandisi wa Majengo Chunya, Aswile Msika ajinyonga kwa suruali yake, inasemekana chanzo ni kesi ya rushwa inayomkabili

    Mbona hata shati hana kwa hiyo aliamua avue shati kabisa aepushe usumbufu wa kumvua,,duu,, marehemu huyo noma... Sambamba na hilo,wafiwa poleni sana
  5. kinju

    Somo letu: Wajua kwanini namba 13 ni namba ya mkosi? Je, umezaliwa tarehe 13?

    Gunzi LA mhindi halina namba tasa kuanzia 3,5,7,11,13,15...badala yake lina namba shufwa pekee
  6. kinju

    Kwaheri Diana, tutaonana Mungu akipenda...

    Mungu atawapigania tu kipindi hiki kigumu kwa wafiwa
  7. kinju

    Account ya Fb ya Malisa GJ ndo hivyo tena

    Huyo jamaa ndio yule aliyeanzisha fb au mwingine?
  8. kinju

    Aliyetajwa kujichomeka kwenye msafara wa Mrisho Gambo ni nani?

    Mbona simple tu haihitaji degree kujua,
  9. kinju

    Rais Magufuli amteua Innocent Bashungwa kuwa Waziri wa Viwanda, Edwin Mhede kuwa Kamishna Mkuu TRA

    Picha bado sana,nazani falsafa ya jiwe walio wengi wanashindwa kuimudu na kuitea kazi
  10. kinju

    Katika Matajiri wetu 10 wa juu Tanzania, hakuna aliyesoma Chuo Kikuu ndani ya nchi! Uchumi wetu unategemea elimu za nje, kwanini?

    Samahani mkuu, naomba orodha ya matajiri waliosomo nje ya nchi ili mjadala uendele vizuri
  11. kinju

    Nani mwenye rafiki mzuri

    Inaonekana rafiki wa mme, Huyo Jamaa anafahamu aovu ambayo rafiki yake huyafanya ndio maana akamtetea namna hiyo, ila rafiki wa mke huyo wivu umejaa Kila Kona ya mwili wake, ndio maana anaamua kufanya usaliti ili kuisambaratisha ndoa ya rafikiye
  12. kinju

    Kama watu wanaweza kutengeneza hivi basi Askofu anaonewa

    Ni kweli,,lakini uhalali wa mchezo huu upo wapi?
  13. kinju

    Mungu mbariki Salim Ahmed Salim. Yadaiwa anaumwa, yupo kwenye matibabu

    Mungu ampe wepesi wa kupona Dhidi ya Maradhi yanayomsumbua,
Back
Top Bottom