Account ya Fb ya Malisa GJ ndo hivyo tena

Account ya Fb ya Malisa GJ ndo hivyo tena

Kwa ni hivi akiponda serikali fb na insta ndo anajipatia kipato? Mbona tupo kibao tu ambao hatukubali yanayofanywa na serikali ila kuishia kulalamika tu hakusaidii chochote
Ndio maana kuna patrice lumumba malcom x, martin luther king jr G malisa alafu kuna wewe na wastaarabu wenzio
 
Kila Mara napenda kueleza siyo kujua sheria na haki za binadamu ndiyo unaweza kujilinda tujifunze kujilinda kimtandao pia kimapigano bila kusahau taalum y intelijensia ya kujihami bila kugusana na mtu yaani tumia ile organ iliyojificha.
Kama mlivyosikia ile account ya Malisa GJ kule facebook ndivyo hivyo.

Tusichezee mamlaka jamani.

Lakini kwa kuwa yuko pia humu JF hakuna shida.
a
 
 
Back
Top Bottom