Habari wanajamii,
Naomba kuuliza kwa heshima na busara kuhusu jambo linalonitatiza kidogo moyoni. Kumekuwa na hali ambapo mwanamke anakula chakula bila kumkaribisha mume wake mara kwa mara, lakini cha kushangaza zaidi ni kwamba dada wa kazi humkaribisha mume chakula.
Je, hili linaashiria nini...
Kwa kifupi: ndiyo, kuna madhara ⚠️
P2 (Postinor 2) haipendekezwi kwa mama anayenyonyesha, hasa bila ushauri wa daktari.
Madhara yanayoweza kutokea
Kwa mama:
Kichefuchefu, kutapika
Kizunguzungu, maumivu ya kichwa
Kuvurugika kwa mzunguko wa hedhi
Kubadilika kwa kiwango cha homoni
Kwa mtoto...
Mm mfuga mbwa. Hizo breed zina wivu. Yaani akiona attention imehama ana anza kua mental. So anachoona kina muharibia anakiharibu. Ndo pale unakuta kala mtoto.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.