Yuda Legacy
JF-Expert Member
- Jun 21, 2023
- 534
- 1,746
Kama kichwa kinavyo uliza inamaana hakuna hata mtanzania mmoja mwenye kuweza kumiliki lamborghini AU ferrari mbona hii ni aibu ya kubwa sana inamaana taifa zima tunamiliki MIKANGAFU ya Toyota tu naumia sana haipendezi
Mbona tumeaminishwa hii nchi ina matajiri na watu maarufu wenye uwezo au tunadanganywa Mimi huwa nasikitika sana nikikatiza mitaa ya posta Kariakoo Siwezi Kukutana na mtu anaendesha hii Gari LAMBORGHINI AVAENTADOR AU FERRARI Shida iko wapi Watanzania.
Wakati Wenzetu Hapo Kenya Na Uganda Wana Drive Hizi Chuma inamaana Watanzania wote hatuna hela sitaki kufika huko ila tujitathimini. View attachment 2824245View attachment 2824244
Mbona tumeaminishwa hii nchi ina matajiri na watu maarufu wenye uwezo au tunadanganywa Mimi huwa nasikitika sana nikikatiza mitaa ya posta Kariakoo Siwezi Kukutana na mtu anaendesha hii Gari LAMBORGHINI AVAENTADOR AU FERRARI Shida iko wapi Watanzania.
Wakati Wenzetu Hapo Kenya Na Uganda Wana Drive Hizi Chuma inamaana Watanzania wote hatuna hela sitaki kufika huko ila tujitathimini. View attachment 2824245View attachment 2824244