Je, kuna Mtanzania mwenye Ferrari au Lamborghini hapo Dar jiji kuu Tanzania?

Yuda Legacy

JF-Expert Member
Jun 21, 2023
534
1,746
Kama kichwa kinavyo uliza inamaana hakuna hata mtanzania mmoja mwenye kuweza kumiliki lamborghini AU ferrari mbona hii ni aibu ya kubwa sana inamaana taifa zima tunamiliki MIKANGAFU ya Toyota tu naumia sana haipendezi

Mbona tumeaminishwa hii nchi ina matajiri na watu maarufu wenye uwezo au tunadanganywa Mimi huwa nasikitika sana nikikatiza mitaa ya posta Kariakoo Siwezi Kukutana na mtu anaendesha hii Gari LAMBORGHINI AVAENTADOR AU FERRARI Shida iko wapi Watanzania.

Wakati Wenzetu Hapo Kenya Na Uganda Wana Drive Hizi Chuma inamaana Watanzania wote hatuna hela sitaki kufika huko ila tujitathimini. View attachment 2824245View attachment 2824244

ce1e47910ccc646d00f498947fc3f238.jpg
 
Kama kichwa kinavyo uliza inamaana hakuna hata mtanzania mmoja mwenye kuweza kumiliki lamborghini AU ferrari mbona hii ni aibu ya kubwa sana inamaana taifa zima tunamiliki Toyota tu naumia sana

Mbona tumeaminishwa hii nchi ina matajiri na watu maarufu wenye uwezo au tunadanganywa Mimi huwa nasikitika sana nikikatiza mitaa ya posta Kariakoo Siwezi Kukutana na mtu anaendesha hii Gari LAMBORGHINI AVAENTADOR AU FERRARI Shida iko wapi Watanzania.

Wakati Wenzetu Hapo Kenya Na Uganda Wana Drive Hizi Chuma inamaana Watanzania wote hatuna hela sitaki kufika huko ila tujitathimini. View attachment 2824245View attachment 2824244View attachment 2824246
Hahahahahaha
 
Kama kichwa kinavyo uliza inamaana hakuna hata mtanzania mmoja mwenye kuweza kumiliki lamborghini AU ferrari mbona hii ni aibu ya kubwa sana inamaana taifa zima tunamiliki MIKANGAFU ya Toyota tu naumia sana haipendezi

Mbona tumeaminishwa hii nchi ina matajiri na watu maarufu wenye uwezo au tunadanganywa Mimi huwa nasikitika sana nikikatiza mitaa ya posta Kariakoo Siwezi Kukutana na mtu anaendesha hii Gari LAMBORGHINI AVAENTADOR AU FERRARI Shida iko wapi Watanzania.

Wakati Wenzetu Hapo Kenya Na Uganda Wana Drive Hizi Chuma inamaana Watanzania wote hatuna hela sitaki kufika huko ila tujitathimini. View attachment 2824245View attachment 2824244View attachment 2824246

Mhh!! Labda model 1920
 
Watanzania tujifunze ku-argue! Haya mambo ya kumuuliza mtu kama ''anayo'' au ''anaweza'' anapohoji kitu ni kama kichekesho. Umekuwa ni kama utamaduni wetu. Ongezea tena na mengine kama ''unamuonea wivu tu'' au ''kama una ushahidi peleka mahakamani''.
Soma kichwa cha andiko lake utaelewa ni kwanini nimemuuliza hivyo lkn km umekuja kwa mihemko huwezi kuelewa.
 
Back
Top Bottom