Kama ni hivyo basi usalama wa Magufuli ni mdg sana. ccm mtaji wao mkubwa ni umaskini wa watanzania, Magufuli ana nia nzuri kutuondoa ktk dimbwi hili kwainavyoonekana!
Unatakiwa utafakari hoja sio kupuuza hii nimesikia kwa zaidi ya watu kumi wame sense kitu kama hicho... Hili jambo ni serious kwa mustakabali wa Taifa letu.
Kwakweli naanza kumuelewa, kwajinsi anavyowavua nguo ccm Hahaha Magufuli ni ni zaidi ya azimio la Arusha. Jk anavuliwa nguo hadharani soon Jk atairudisha remote control kwa mwenyewe hali ni mbaya sana kwa familia ya mzee wakuchekacheka na kukenuakenua tuu....
Kwakweli Mh Rais aombewe yupo hatarini sana katikati ya dimbwi la wanyang'anyi.... Sijampigia kura ila anafanya mambo kama mpinzani, anafanya zaidi ya mpinzani.... Magufuli ni Sokoine zaidi ya Nyerere.
Kwenda zako kule nani kukuambia jumamosi ni siku ya saba? Fanya utafiti vzr sio unalishwa matango pori unajimezea mengine sumu.... Tupige kazi mpk jumamosi ikibidi jumapili mbona waislam wao wanaenda job ijumaa.. .
Yesu aliposema kondoo wangu, kwaurefu wa akili yako ulizani anamaanisha kondoo mnyama mla nyasi? Teh teh teh teh teh halafu unajiweka ktk la kundi la great thinkers pole Sana. Kumuelewa lowassa yataka ubongo unaofikiri kwa haraka na kwausahihi... Kajipange upya kumkabili lowassa.
Kwanini mnaogopa mkusanyiko wa UKAWA? ccm acheni uoga... Kama mmeshinda kwa halali mnahofu ya nini ili Hali mnamtaji wa kura million 8? Lowasaaaaaaa!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.