Recent content by kingpin2030

  1. kingpin2030

    Mungu ni mwema kaniokoa na Kifo japo nipo kitandani hospitalini muda huu

    Pole sana mkuu. Nakuombea upone kwa haraka.
  2. kingpin2030

    Kwanini Vijana wa Tanzania hawajitumi kwenye maisha tofauti na Vijana wa Nigeria na Kenya?

    Mimi nadhani tatizo mojawapo ni kwamba waTanzania wengi wanaoishi nje ya nchi hawana tabia ya kuambizana pale panapokuwa na fursa kwenye nchi fulani. In short we dont share opportunities. Tunaona ni bora kusaidia ndugu waliopo nyumbani kwa kuwatumia ela kuliko kuwajenga in a more sustainable...
  3. kingpin2030

    Nitajie tarehe yako na ya mwenza wako nikwambie mpo vipi na hatima yenu, siri yake n.k

    Mahusiano bado ni uchumba Mimi ME, 27/03, G Yeye KE, 19/01, C Naomba msaada wako Mkuu... Sent from my Nokia 5.1 using JamiiForums mobile app
  4. kingpin2030

    Nilichojifunza ndani ya mwaka mmoja bila ajira

    Hongera sana kwa kuwa na uthubutu mkuu. Una eneo kubwa, jaribu kuendesha miradi mbalimbali midogomidogo ili uweze kudistribute risk. Kama ufugaji mbalimbali, horticulture etc. Nenda mdogomdogo usisubiri mpaka upate limtaji likubwa. Hii itasaidia kujifunza mambo mengi na kujiandaa vizuri zaidi...
  5. kingpin2030

    Swali nauliza

    "Old is Gold"
  6. kingpin2030

    TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba

    RIP Sent using Jamii Forums mobile app
  7. kingpin2030

    Mwanaume changia hapa, mwanamke atakayekupa like zama naye PM

    Huu uzi mwishoni utaishia kwenye ngumi. Likes hazijabalance na wanaume tuliopo.
  8. kingpin2030

    Mwanaume changia hapa, mwanamke atakayekupa like zama naye PM

    Embu waliokwishafika PM watupe mrejesho ili tuongeze nguvu..
  9. kingpin2030

    Masingle tukutane hapa

    Kama uko tayari kuwa mpangaji wa jela la segerea, Sio mbaya mkuu, endelea...
  10. kingpin2030

    Masingle tukutane hapa

    Mimi kama wewe tu. Tofauti ni kuwa am a guy. JF ndo mpnz wangu kwasasa
  11. kingpin2030

    Vitambulisho vya wamachinga zengwe limeanza

    Nadhani alikusudia kusema wenye mauzo yasiozidi 4 mil kwa mwaka na si mtaji usiozidi 4 mil kwa mwaka. Maana hata kwenye sheria za kodi ya TRA, mfanyabiashara mwenye mzunguko usiozidi 4 mil kwa mwaka hatakiwi kulipa kodi.
Back
Top Bottom