Unaolewa vizuri tu kwa umri wako bado kijana.
Lakini tegemea kupata mwanaume aliyekuzidi umri.
Naimani umepitia mengi sana na una mengi unayawaza lakini sasa hivi akija mwanaume wa umri chini yako akawa haeleweki(sharobaro)basi USIKUBALI KAMWE KUOLEWA NAE.
Kwa sababu yeye atakuwa anaona bado anakula ujana wakati wewe unataka kutulia kwa kupumzikia ile mishale iliyokukosa,hapo ndo mahusiano siku mbili yanaisha wakati lengo ni Ndoa.
Jiandae kupata mwanaume ambaye ana umri kama wako na aloyekuzidi,sana dana aliyekuzidi hapo utatulizwa.
Na pia ishu sio kuolewa,ishu ni kudumu kwenye ndoa.
Mwanamke mwenye ndoa moja kwa miaka 10 ni bora kuliko mwanamke mwenye ndoa 5 kwa miaka 10 hiyo hiyo.
Hivyo umakini unahitajika sana.