Kwa wakati huu kujua ni nani anasemanukweli ni changamoto sana Kila mtu anaongea kwa kuangalia faida yake binafsi
Hii sii sawa kabisa
Hata wewe hapa hujaweka wazi vizuri
Mm nimekaa Kenya kule hakuna police
Bali wasaka tonge hakuna njia ingine ndoo wanaenda kule
Karibu kwenda FFU
Na hayo mawazo Yako uone
Police wa kenyaaa sikitu choxhot
Huyo ndiye mke wako sahihi
Utakae muwoa atakuletea watoto si wako
Ongea nae kwa upendo mwambie idadi ya watoto unayoitaka kisha chapa kwenye mchepuko baada ya miaaka kadha Lete watoto home tulia
Nakwambia ukimwacha kwaajiri ya ulemavu wake utakayika miguu na uliye muwowa atakulimbia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.