Recent content by kingkenzule

  1. kingkenzule

    Hivi Michael Jackson alikuja Tanzania na kugoma kushuka uwanja wa ndege na kusalimiana na Mzee Mwinyi kisa Tanzania hewa yake ni chafu?

    mdogo wangu hata mimi hiyo story nikiisikia ila hakugoma kushuka inasemekana siku anatimba MJ kuna sehemu ya jiji walikuwa wamechoma taka sasa ule moshi ukawa unaelekea maeneo ya airport ukichanganya na ule moshi wa pale feri wa kukaanga samaki ikawa hewa mchanganyiko kama anajua zaidi aongezee...
  2. kingkenzule

    NBS: Watanzania 9 kati ya 10 Wanatumia Miguu kama Nyenzo Kuu ya Usafiri

    mkuu unetisha sana professor janabi oyeeee kuna nchi tajiri za ulaya usafiri wao mkubwa ni baisikeli na kutembea kwa miguu kujikinga na magonjwa yasiyo ya kuambukiza
  3. kingkenzule

    Pesa na kazi havitoshi kumpa furaha mwanamke. Binti wa Ruto ajitokeza kuombewa ili apate mume

    mkuu bora huyu kajiweka hadhalani kuepuka aibu mbeleni jimbo liko wazi mbona tz tunao watoto wa vigogo wazeekea nyumbani kina fatuma aka shangazi, halima mdee kina esther bulaya na wengine wengi ila wanaona aibu kujitangaza ndo inakura kwao
  4. kingkenzule

    Kuna ajenda gani kwenye usambazaji wa video za ngono?

    kootee huko uko sawa ila hiyo no 6 na 7 utanisamehe sisi wengeni ni wajukuu wa mtemi hiyo no 6 haitanielewa
  5. kingkenzule

    Prof. Janabi: Nakula mara mbili kwa siku

    mkuu uko sahihi yeye angesema watu wa maofisini tungemuelewa kirahisi mtu uko machimboni unapiga nyundo mwanzo mwisho, uko bandarini unapakia cement ,uko shamba unavuja shasho mwanzo mwisho, ule mara moja kwa cku haiingii akilini afafanue vizuri mie ningemuelewa kama angekuja na ushauri wa...
  6. kingkenzule

    DOKEZO Kibaha: RUWASA yakataza kijiji kutumia maji ya kisima kwa zaidi ya miezi miwili

    diwani,mtendaji, mwenyekiti wa serikali za mtaa wanasemaje kwa hilo jambo hiyo inshu inatakiwa kuishia ngazi za chini
  7. kingkenzule

    Kwa Data Hizi Azim Dewji Alikuwa Sawa Kusema Upungufu wa Umeme unaletwa na Maendeleo. Vifaa vya Umeme vya 7 Trilioni Vililetwa Nchini Mwaka 2023

    Mkuu pamoja na polojo zooote unazotuletea na kulambishwa asali kwako tunataka umeme hakuna kingine unatufanya kama sisi ni wageni katika hiii nchi.
  8. kingkenzule

    Rafiki mjane Bibi John aliyekosa msaada, nasikitika sikumzika

    mkuu umenikumbusha mbali sana nimetokwa na machozi mie mwenyew ilinitokea mwaka 2018 sikumzika mama mdogo wangu alinipenda sana nilikuwa mbali kikazi
  9. kingkenzule

    Mgawo wa umeme kufika Ikulu kesho Jumapili 18.02.2024

    mkuu umefikiria mbali sana nakubaliana na ili tuseme kumbe hata ikulu mgao upo big up sana
  10. kingkenzule

    Kwa hili janga la umeme nahisi sasa watanzania wameelewa Magufuli aliposema yeye ni Rais wa wanyonge

    2025 mkuu sio mbali andaa kichinjio ukipiga kura usiondoke mpaka mshindi atangazwe kaa umbali wa hizo mita 100 zao mwaka huu tunaanza na hao wenyeviti wao walipita bila kupingwa
  11. kingkenzule

    Aidha tuamue sasa ama tusubiri 2025 lakini tusiendelee kulalamika! Hakuna kitakachobadilika

    mkuu wangu mshana Jr acha dawa ituingie mwendazake tulimsema sana kwa kila baya umeme ukatike kutwa nzima chakula kipande mafuta bei juu nauri bei juu wa tz hatuna jema haatunui tunataka nn mie niko shamba huku nasubiri kuvuna mpunga
  12. kingkenzule

    Kwa hili janga la umeme nahisi sasa watanzania wameelewa Magufuli aliposema yeye ni Rais wa wanyonge

    sasa mkuu ulitaka atuite matajiri wenzie kutuita wanyonge alimaanisha wewe unaweza dhurumiwa haki yako na tajiri na huna pakumpeleka sasa yeye akachukua jukumu lakutusemea wanyonge au wewe kwenu umeme hua haukatiki au una chuki na magu wa vyeti feki nn
  13. kingkenzule

    Mbona askari wa nchi za wenzetu hawana vitambi?

    mkuu nimecheka kwa sana kwamba lazima upumulie milango yote ya taka
Back
Top Bottom