kaka wasi........ bunda bwana. ila huku maji tele hadi tunamwaga bunda hakuna shida ya maji hadi kwenye mabanda ya kuku. ila byeeeeeeeeeeeee we hv tired wid fake smile
hivi jamani naomba nisaidiwe napata shida katika namna itumikayo sasa kusahihisha mitihani uhusuyo masomo ya lugha je ni sahihi kusahihisha jibu tu? au pengine kufuatilia neno kwa neno ili kuchunguza mantiki ya lugha ilotumika na pengine hata kukosoa kwa lengo la kufundisha? okoa mimi katika hili
no reality tuweni serious katika kuwahukumu walimu hawa cause twaweza kuwa tunachangia kudidimiza elimu pasi kujua. endapo utanithibitishia ni shule ipi katika tanzania na darasa lipi? bila shaka tutajenga imani nawe kama sivyo basi wakati mwingine thread kama hii fb pahala pake
naomba michango yenu wadau tuweze kupata hoja za kutosha juu ya namna gani hasa kuna ukweli kuhusu shughuri mbalimbali za kitalii kuathili mazingira yetu.
mh nitaomba radhi endapo wanajf watanithibitishia kuwa cdm ndicho chama cha kwanza tz kuwa na ulinzi wake cause mi nimeondokewa imani kwa maaskofu hawa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.