Huyo matako yalikuwa yanamuwashaa tu hajabanwa na gogo...maana mzigo huwa utokaa popote ukiamua kutokaa ata kama kwenye kichaka angeshushaa hoja apo sio kuzaliwa cjui hajawahi...huyo tako lilikuwa linawashaa tu
Serikali isimamie haki,mihimili mitatu ifanye kazi tofauti,sio kuipongeza serikali kila siku,
Katiba mpya inaitajika mapema,pia viongoz wetu wasiwe na madaraka katika chama pia haohao wanaiongoza nchi...nadhani tutawapita mpaka south africa kwenye swala la maendeleo vinginevyo na hapo tufanye...
Tulianza kusikia machuma yanaibwaa kumbee kwelii sasa wauza vyumaa chakavu itakuwa ndio sababu au YAPI...! Yanii tunapata shider kuelewa kabisa au pesa ndio shider cjui vipi ni vipi au ndio sihasaa maana siasa saivi hakunaa kabisaa...
Huna akili ata kidogo umeambiwa ni wafidhili huwa hawatoi kodi....mfano hizo shule zikifungwa au wakiamisha ufadhili mali zote zinakiwa ni za serikali ya tanzania shida apo serikali yetu inapenda watu wajinga ili wazidi kuweka matabaka waendelee kutuongoza...
Pambana kijana....mm ilinikuta iyo nipo na bajaj moja na gari tipper moja yakubeba mchanga cjasoma story yako mpaka mwisho ila pambana usisubiri kupata ajira man kazaaa mkubwa mwenzangu
mimi nipo serious mkuu sio swala la wabongo mkoje... fanya negotiations nzuri maana kipato changu ni pesa inakuja alafu inapotea faster mkuu.
bodaboda nilinunua kwa 1.5M na ilikuwa vzur tu
I am not fluent speaker but i think my contributions as a partner will help all including me.
An idea : Just create a group, then select your partners and invite them for the best practices.
Yote uliyosema hujakosea kabisa...kama una unakumbuka ITV na televisions nyingine nyingi zilikuwa zinatoa midaalo kuhusu maendeleo na kujitambua kama mtanzania, hivyo vyote vimepigwaa marufuku au mada itakayo ongelewa itabidi ikachunguzwe kwanza alafu watu wajadilii,kwaiyo tatizo sio ujinga wetu...
Nendaa kwa wazazi wakabariki then mfanyee mnachotaka maana wazazi ni sehemu ya Mungu apa duniani....izo nyingine ni taratibu na desturi za wageniii walio ziletaa apa africa na tukaziendeleza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.