Recent content by Kingamzi

  1. K

    Uchaguzi huu unaweza kuwa na mambo mawili tu

    Ndg mtoa post hujatoa utaft wa kisayansi unapotosha na upo kishabiki zaid rudi field ulete utaft halisi.
  2. K

    Magufuli vs Lowassa

    Hawa wote wamekaa ccm kipindi kirefu so ukipima mzani sawa uwezi mutengansha ENL na ccm zaid tuwasubili wapiga kura.
  3. K

    Nasumbuliwa sana tumbo

    Netragen! Netragen! ni dawa ilikuwa inatangazwa kuwa kiboko ya vdonda vya tumbo ifuatilie inaua H.pyroli wa ulcers.
  4. K

    Magufuli ni bora kuliko wagombea wote wa urais

    Wewe ndo umeongea bila ushabiki. bila kuweka uchama mbele huo ndiyo ukweli.
  5. K

    Maajabu Tanzania

    sasa tunataka kuona wanapanda mabasi ya mikoani pale Ubungo kwenda makwao na si ndege na machopa ndo tutawaona wazalendo
  6. K

    Hivi manii ina nini hadi wanawake wanasisimka wakiilamba na kuimeza

    niliwahi kuwa na demu wa tabia hiyo mzee unatema wazungu mpaka shavu zinavimba afu anameza zote sikuelewa maana yake
  7. K

    Nawapenda sana wanawake wa aina hii lakini sina bahati nao

    aaa! naona we dume la mbegu ila ukitega bomu ujue pia namna ya kulitegua. Aaaa!
  8. K

    Safari hii ni zamu ya Zanzibar: Wameufyata

    Naomba kujuzwa wanaJF juu ya hawa watangaza nia urais jmt wote ni kutoka bara mbona wazenji hawatii nia?.
  9. K

    Jee huyu anafaa kuoa?

    Wewe una vigezo gani vya uchunguzi(probation) juu huyo unaetaka kumuoa hasa kitabia? uaminifu,upole,upendo kwako,n.k
  10. K

    Kwanini ni Wahaya, Wachaga na Wakurya tu?

    Wabunifu wa matangazo sasa ni zamu ya mmakonde naye tumsikie na matangazo ya hao wengne tumeyakinai.
  11. K

    Naomba mnisaidie madoktari wa humu!!

    pima kipimo cha vidonda vya tumbo waweza kuwa na vimelea vya helicobacter pyroli tumboni dalili unazotaja ni miongoni.
  12. K

    Miaka 9 katika ndoa - Simuelewi mume wangu naomba ushauri

    da mtoto miaka 7 bado wa pili?.Bt hayo ni mambo ya kuzungmza mwambie wazi naye akupe sababu why? supu ya pweza muhmu hap
  13. K

    Kwa hizi course ni ngumu sana kupata GPA kubwa

    acheni kudscourage vjana wenye interest ya kusoma hzo kozi. mimi nimepiga GPA 4.6 telecomunication udsm.
  14. K

    Consultance Services uchimbaji wa mabwawa na ufugaji wa samaki.

    Natoa huduma ya mbinu za kisasa za uchimbaji wa mabwawa na ufugaji wa samaki (Aquacualture). Nipo dar 0684334144
Back
Top Bottom