Kwanza pole sana brother. Hata mm naamini kwa asilimia kubwa hiyo itakuwa imechangia. Inabidi brother upate msaada wa kisaikolojia, inaonesha wazi ni tatizo la kisaikolojia kabisa. Jaribu ku stay positive, tulia na upendelee kufikiria mambo mazuri mazuri.
Kusema kweli music producer wengi wabongo waliopita na wasasa wanatengeneza beat kali. Nikisema nitaje moja naona kama zingine naziacha. Ila tuanze na hii.... KINANDA BY MESEN SELKTA naikubali sana japo zipo nyingine nyingi tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani kutakua hamna satisfying reasons and answers kwa maswali yako kwasababu aliyeumba au kutengeneza hivyo vitu ni another being since umekiri kuna aliyeumba.
Kimsingi kwa imani yangu tuliambiwa hivi Mungu katumbia nyota na vyote vilivyo angani, viwe kama mapambo na vingine vitulinde...
Wabongo wengi tuna mihemko, hatuna logical reasoning na ndio maana maendeleo yetu ni duni, every challenge can be an opportunity, Sasa hapo ndio pagumu, tunaishia kulalamika tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.