Ni kweli kwa familia za kiafrika kuna umri inakubidi uondoke nyumbani kupunguza mzigo mkubwa kwa wazazi maana familia zetu akiondoka mtoto analetwa mjukuu kulelewa sasa kuna mda bora uwaache ao wajukuu nawe ukajitafutie riski kwengine.
Katika uchunguzi wangu mdogo hata taka kwenye kiroba huwezi kuzikuta mlango wa mbele wa nyumba bali mlango wa nyuma Wa nyumba. 0712 ni uchafu uliokubuhu na ndio maana muumba kaleta hekma yake hata ktk kujisafisha wakati wa haja hukuoni kwa kuwa kuchafu. Wanaokula mungu anawaona
Ni nani anaeng'ang'ania ubaki huu muungano? Zanzibar zamani sana hatuutaki huu muungano kwa kuwa hatuna udugu wala faida nao ila Tanganyika bado wametukaba roho
Ni bonge la chuo ambalo ukienda na idea ya chuo bata unarudi kwenu. Nilipoona hapa vijana takribani mia wamedisco kwa kutofika GPA stahiki nikajua hapa si pa kawaida. Acheni kabisa udom panapigwa shule duh. Naheshimu vyuo vyote Tanzania na duniani na nakipenda chuo changu udom.
Si bure umetumwa. Unguja hakupo shuari una akili zile zile za kisonge. Kama hujui sababu kubwa ya Mara hii kipindupindu kukaa muda mkubwa ni ukosefu wa dawa hata zilipokuja patikana kwa wingi tatizo lilishakuwa kubwa. Hebu wacha ushabiki kidogo.
Na kitaeleweka sana ule wimbo wao mzuri unaoimbwa " wacha waisome namba ee sisi cuf mbele kwa mbele' na leseni wazichukue eee sisi cuf mbele kwa mbele" dah huu wimbo mzuri sana. Yani utuzulumu na pia ututishe duh
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.