huyo ni pepo kabisaaa na kwa taarifavyako hato ondoka mpaka ufanyeaombi ya kutosha,kwa sasa anakujua vzri kwa hiyo ni vigumu kutengana nae mpaka ufanye maombi ya maana
audi A4 ni gari zuri sn mm ninayo na limenishinda kwani niligonga jiwe gari ikaharibika mguu mbele ukawa na erro cjaweza kutengeneza kwani hakuna fundi wa hizo gari na nimeagiza spears over seas mpaka nimechoka
Kuna ajali mbaya sana imetokea mlima Sekenke muda huu na watu 4 amefariki dunia.Ajali hiyo ilitokea wakati gari la mafuta kufeli breki na kuingia darajani na kulipuka moto.
Ni ajali mbaya sana ambayo ni vigumu kuielezea.
-------------
============
Wanainchi wakiangalia Lori baada ya...
hawa ma bilionea wa kiarabu wanatabia mbaya sn suluhisho akaona amle kiboga mdeni wake na hilo mahakama halijaona nikosa?au nchi yetu inatambua ngono ya jinsi moja?wanahabari wa shikieni bango mpaka kieleweke
hivi wwe nameless inahusiana vp kati ya CHADEMA na kijiji cha kitumbili?leta mada zenye mitazamo ya kitaifa nasiyo majungu ya kwenu uyalete kwenye jamvi.
ngari ni nzuri snaa ila ni ya mwaka juzi star amenunua gari mkononi kwa mtuu?hela za mawazo hizo na anadhihirisha bado anatabia za tandale ambapo watu hununua suruali kwa mtu kisa inampendeza,brooooo zama show room achaaisha ya kishamba
najionea huruma m TZ mm kuongozwa na mtu kama adam malima ambae ni IV felia mwenye degreee za kuunga unga leo hii anapewa wizara nyeti kama hii aliyo gaiwa hivi punde cjui nchi inaelekea wp.
yupo mwingine dodoma anauza cm hajui english na kiswahili pia hajui ukiuliza bei ya simu anatoa calculater na kuandika kiasi cha fedha na punguzo ka bei.ni wajanja sana hawa watu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.