Mvumbuzi wa AK 47 afariki dunia

Mvumbuzi wa AK 47 afariki dunia

Ila mwenzie wa Marekani aliebuni M16 ni bonge la tajiri
hii AK47 ni mali ya state...ingawa ni best
lakini hakuwa na hakimiliki.....hata wanae hawataambulia kitu

M16 kwenye maji haifanyi kazi
ndo maana waVietnam waliokuwa na AK47 waliwashinda Wamarekani wenye M16...
 
ak-47-creator.jpg
 
Mungu ailaze roho yake Mahali pema...................Malizia mwenyewe.
 
watu wengine nadhani hamuishi hapa duniani mmetokea pluto
 
silaha hii iliundwa mwaka 47 kwa matumizi ya kuua binadamu. ndio silaha pekee duniani iliyoua watu wengi kuliko nyingine. imeua wamarekani wengi sana kwenye vita ya Vietnam bila kusahau weusi barani afrika

lakin kuna siku aliwahi kuzungumza kuwa " ANASIKITIKA SANA KUONA SILAHA YAKE IKITUMIKA NDIVYO SIVYO KWA KUUA WATU WASIO NA HATIA"
 
Back
Top Bottom