Recent content by KING NH

  1. K

    Somalia yaanza kuwafukuza Wakenya!

    Vita sio kitu kizuri watafute namna ya kumaliza huo utata sisi tz tunaipenda somalia na kenya pia...
  2. K

    Perspective, KDF soldiers in pictures, advanced military in EA

    Hivyo ndo jeshi linatakiwa kuwa sio show off nakwambi mjomba mziki tunauweza sio kitoto kwanza inatakiwa mtu yoyote asijue silaha ulizo nazo sasa achokoze aone
  3. K

    Ujenzi wa kiwanda kikubwa cha ngozi Africa

    Hizi ndizo habari nzuri za kusoma sio zile za nyoko gani kaenda ulaya kuongea na wanafunzi wa vyuo
  4. K

    Waziri Mkuu Majaliwa Tuoneshe kwamba unaweza kurithi Viatu Vya Rais Magufuli

    Raisi dkt hussein mwinyi makamu wa raisi prof mbawala waziri mkuu lukuvi game over
  5. K

    Behold! The best railway in Africa!

    Umesema kweli wangu
  6. K

    Nimeikuta Mahali Hii: India Wamezindua Treni yao ya mweno kasi 160Kmph

    Mi naomba walete treni za maana na nzuri najua watu waliopewa hilo jukumu ni washamba sasa subiri uwo mtungi wa gesi utaoletwa utachoka nafsi yako
  7. K

    The Truth Has Been Revealed (KQ wana ndege 3 tu)

    Faida inaenda klm wenye ndege zao
Back
Top Bottom