Recent content by KING KIGODA

  1. KING KIGODA

    Kwanini Marekani ameshindwa kuimaliza Iran haraka?

    Asante sana kiongozi.
  2. KING KIGODA

    Siku za utawala wa Ayatollah huko iran zinahesabika

    Hakuna kamanda yoyote katika hao aliyeuwawa kwenye uwanja wa vita,bali hao wote waliuwawa kwa kuvizia wamelala na wake zao.
  3. KING KIGODA

    Taarifa kwa Umma: Maandamano kesho yanaendelea

    Rais Samia alisema vyombo vya usalama vimejipanga kwa muda wote,sana sana atakaye toa mlio ni SHEMEJI yako anayeangaika kukulisha wewe na dadako.
  4. KING KIGODA

    PostGE2025 Mwisho wa Samia na utawala wake utakuwa mbaya sana

    Hawa ndiyo wauaji wenyewe sasa!
  5. KING KIGODA

    PostGE2025 Uchunguzi wa CNN kuhusu mauaji ya Tanzania umekamilika, kuachiwa rasmi duniani kote Novemba 21, 2025

    Hahahaa.Nacheka kwa masikitiko maana ni kweli tuna kizazi kibovu sana katika wakati huu.Yaani mawazo ya watu katika hili la kuzima mtandao yaani ni masikitiko.Mtandao ulizimwa kwa sababu ya kupunguza machafuko yale kusambazwa kwa kupitia video na picha,niwazi kama mtandao usingezimwa leo...
  6. KING KIGODA

    Miezi sita bila ya mahusiano anaambiwa awe na subra

    Hakunaga mapenzi nje ya Ndoa.
  7. KING KIGODA

    Miaka 2 ya vita vya Israel dhidi ya Hamas, Hezbollah na Houthi. Nani kashinda?

    Sasa uoni kuwa mshindi ni mgambo(Hamas) ambaye anatumia vifaa duni dhidi ya taifa moja lenye zana za kisasa na huku likisaidiwa kwa vifaa na fedha na nchi zenye majeshi imara?.
Back
Top Bottom