heri ya mwaka mpya wajumbe.
nipo mbele yenu nikiwa ni kijana wa miaka 34.
kuna matibabu nilikuwa nafanyiwa kuanzia 2019 hadi 2022 ambayo yalihusisha chermotherapy, radiotherapy na BMT baada ya kuugua saratani ya damu.
shida yangu kubwa ni mabadiriko makubwa ya mfumo wangu wa uzazi. kwa miaka...
Simba yupo group la champions cup lenye wababe wa africa..., yanga yupo shirikisho cup lenye loosers wa champions cup waweza sema yanga ni bora kwa loosers
Nilende TBS kwa ajili ya certification ya product pale HQ niliwakuta wanapiga story huku wanajishika vitambi mm mjasiliamali nifanyaje nikawa kila ninayempa tatzo langu ananitajia room ya kwenda kuulizia aice nilichoka siku hyo
Nilifanya application ya certificate fulan hv mwez wa 11 mwaka jana kwa title ya mjasiriamali nikakamilisha kila kitu na ada nikalipa certificate nimepata mwez wa 8 mwaka huu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.