ukienda mliman ni kuna viwanja vya kila aina na wachezaji kibao. Kazi ipo ingia humo wanapoita dojo wote ni makarateka kutoka nje ya chuo.kiukweli tanzania bado 2po nyuma kwenye fan ya karate
hivi ss watanzanzia 2nataka kusema kweli michezo 2naijua lakin karate hatuijui. Maana juzi 2 kulikua na mashindano ya karate kwa vyuo vikuu kutoka nchi tofauti na yamefanyika mliman lakn hakuna hata mwanafunzi mmoja kutoka Tz. Inashangaza sana. Nyinyi mnaonaje wana JF
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.