Dereva anahitajika

Feb 12, 2017
35
11
Habari za jion wakubwa
nimepwa tenda kutafta dreva
Magari mkubwa cjui mimi daraja gani kina kampuni mpya imefunguliwa
chakufanya andaa lessen na barua tka ser.Za mitaa kama upo tayar nichek afu mm ndo tandiboy ntakuwa kama tunaKubaliana ivyo to
Dar es salaam
0754748085. Asanten
 
Habari za jion wakubwa
nimepwa tenda kutafta dreva
Magari mkubwa cjui mimi daraja gani kina kampuni mpya imefunguliwa
chakufanya andaa lessen na barua tka ser.Za mitaa kama upo tayar nichek afu mm ndo tandiboy ntakuwa kama tunaKubaliana ivyo to
Dar es salaam
0754748085. Asanten
Leo tareh 3,3.017.
Nafasi Imejaa
 
Bangi mbaya sana
5fb53864167c35a6ed8c9bbb3df99edd.jpg
Haina ubaya wowote.
 
Endelea kuvuta tu na ukiranduka unapost utumbo na kasmati foni hako ka shemeji yako
Shemeji yangu ni mama yako mdogo na kwao wamezaliwa wawili tu, guess my wife wangu utamuitaje!!!!!!
 
Back
Top Bottom